King Shaat
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 863
- 835
Duh, naona msimu wa Heartbreaks unaendelea. Duh asee sijui na mimi niende "sabbatical" ya muda katika masuala ya michezo. Yani kilichomtokea Messi ni kibaya kuliko cha GSt asee.
Mnisamehe nimejikuta nimeleta majonzi yangu mengine huku. Coz nyie ndo wanafamilia wangu mnaonijua katika michezo kwa upande huu wa JF nadhani mtanielewa.
Mnisamehe nimejikuta nimeleta majonzi yangu mengine huku. Coz nyie ndo wanafamilia wangu mnaonijua katika michezo kwa upande huu wa JF nadhani mtanielewa.