NBA Season 2015 - 2016: Special thread

NBA Season 2015 - 2016: Special thread

Iko kama ilivyo,black and white,no hidden message! Kwa kusoma michango ya watu humu MIMI BINAFSI NIMEGUNDUA WENGI WAMEANZA KUFUATILIA BBALL 2005, NA NIKAMALIZIA NAWEZA KUWA SIKO SAHIHI.

Naomba nisiandike jinsi ambavyo nimeitafsiri hiyo sentensi.
 
Ha ha ha, we jamaa unamchukia sana LBJ aisee. Yaani hata KD, haya bana.

Hope unazungumzia ubora kwenye shooting na sio game kwa ujumla wake.
Lebron namkubali sana lakini lile saga la kumfire David Blat limenifanya nimuone sio Professional.. Sidhani kama GSW locker room kuna mwenye sauti kumzidi Kerr na sidhani pia kama Duncan or any lad at Spurs ana sauti kumzidi Pop... Ndio maana after a bad loss at Oracle Pop akasema ana bahati President wake hakuwa pale uwanjani maana angemfire siku ile ile... Hiki kilikuwa kijembe kwa Lebron maana yeye ndiye kama President pale Quicken Loan Arena anachoamua kinafanyika.. Sikumbuki Kobe aki'act hivo in whole of his career..
 
Iko kama ilivyo,black and white,no hidden message! Kwa kusoma michango ya watu humu MIMI BINAFSI NIMEGUNDUA WENGI WAMEANZA KUFUATILIA BBALL 2005, NA NIKAMALIZIA NAWEZA KUWA SIKO SAHIHI.
Just for your info, 1989 ulipoanza kuangalia mchezo wa basketball, wengine tulishang'atuka zamani kuucheza...! Hata hivyo nakiri sijui point yako ni nini hasa lakini naomba nikuulize...je, katika ulimwengu huu wa teknolojia, walioanza kuangalia Basketball 2005 hawana namna ya kufuatilia rekodi pamoja na historia ya mchezo huo? Mbona mtu anahitaji tu kuingia hata wikipedia akapata data na stats zote za NBA.
 
Lebron namkubali sana lakini lile saga la kumfire David Blat limenifanya nimuone sio Professional.. Sidhani kama GSW locker room kuna mwenye sauti kumzidi Kerr na sidhani pia kama Duncan or any lad at Spurs ana sauti kumzidi Pop... Ndio maana after a bad loss at Oracle Pop akasema ana bahati President wake hakuwa pale uwanjani maana angemfire siku ile ile... Hiki kilikuwa kijembe kwa Lebron maana yeye ndiye kama President pale Quicken Loan Arena anachoamua kinafanyika.. Sikumbuki Kobe aki'act hivo in whole of his career..

Okay nimekupata kaka, its just a game though.

Ukiisoma barua aliyoiandika Dan Gilbert kipindi kile 2010 wakati LBJ anaenda Heat, utashangaa hawa jamaa wanaweza vipi kurudi kufanya kazi pamoja.

Lakini waliweza kusameheana waka-move on, so its a game and business too.
 
Okay nimekupata kaka, its just a game though.

Ukiisoma barua aliyoiandika Dan Gilbert kipindi kile 2010 wakati LBJ anaenda Heat, utashangaa hawa jamaa wanaweza vipi kurudi kufanya kazi pamoja.

Lakini waliweza kusameheana waka-move on, so its a game and business too.
Sawa sawa ila chukua na hii tweet kutoka kwa Kyle Lowry after Steph 51 Points with only one FT attempted..


Kyle Lowry ‏@Klow7 6h6 hours ago


Smh... He's broke the cheat code , he's got his own code lol
 
Sawa sawa ila chukua na hii tweet kutoka kwa Kyle Lowry after Steph 51 Points with only one FT attempted..


Kyle Lowry ‏@Klow7 6h6 hours ago


Smh... He's broke the cheat code , he's got his own code lol

Curry is amazing this season, he is doing wonders, real wonders. So far he is going to be an MVP at unanimous decision.

If he keeps doing this for next 3 to 4 seasons, he will be considered one of the great to ever play this game.
 
Curry is amazing this season, he is doing wonders, real wonders. So far he is going to be an MVP at unanimous decision.

If he keeps doing this for next 3 to 4 seasons, he will be considered one of the great to ever play this game.
And he will surely do so.. And those half court buzzer shots are routine now..
 
Warriors coach Steve Kerr expressed his current state of disbelief, saying, “A 3-point shot is like a layup. A half-court shot is like a 3-point shot. Steph just, that’s what he does.”

Hahahahahahahaha so to Curry he's attempting half court shots in an accuracy percentage like how other players attempt a three point shot while his 3s are like other players layups... What do we call this expression, an hyperbole or? When a coach his happy with whatever you decide that's even wonderful.

Curry has the best season perfomance which no other player has ever had and he's on the verge of breaking Wilt Chamberlain's PER....

Reggie Miller said he now has to average 10pts per game to win an MVP... Mike Jackson claimed he's affecting the game as he went to colleges and every young lad is trying to shoot 3s like crazy... I can't really imagine how the Minnesota Timberwolves are feeling having choosen two guards ahead of him in that draft.

No hate, Curry has revolutionized the game in his own,, the once referred to as slim and soft is killing the games in 3 quarters now? What surprises me even more is he don't dunk often or with ferocity but he has up his game in cutting the D and getting to the rim to make layups... He's doing it with accuracy and better than even Westbrook whom i once believed no guard gets to the rim like him ( critiques are allowed).

I'm now enjoying Curry's game.... Scoring 51 pts with only one free throw tells you the way his game is maturing. He's hurting teams from different points, it's now hard to guard him than any other player in NBA.
 
Warriors coach Steve Kerr expressed his current state of disbelief, saying, “A 3-point shot is like a layup. A half-court shot is like a 3-point shot. Steph just, that’s what he does.”

Hahahahahahahaha so to Curry he's attempting half court shots in an accuracy percentage like how other players attempt a three point shot while his 3s are like other players layups... What do we call this expression, an hyperbole or? When a coach his happy with whatever you decide that's even wonderful.

Curry has the best season perfomance which no other player has ever had and he's on the verge of breaking Wilt Chamberlain's PER....

Reggie Miller said he now has to average 10pts per game to win an MVP... Mike Jackson claimed he's affecting the game as he went to colleges and every young lad is trying to shoot 3s like crazy... I can't really imagine how the Minnesota Timberwolves are feeling having choosen two guards ahead of him in that draft.

No hate, Curry has revolutionized the game in his own,, the once referred to as slim and soft is killing the games in 3 quarters now? What surprises me even more is he don't dunk often or with ferocity but he has up his game in cutting the D and getting to the rim to make layups... He's doing it with accuracy and better than even Westbrook whom i once believed no guard gets to the rim like him ( critiques are allowed).

I'm now enjoying Curry's game.... Scoring 51 pts with only one free throw tells you the way his game is maturing. He's hurting teams from different points, it's now hard to guard him than any other player in NBA.
MOTHER SUCKER.... teh teh teh teh teh

Curry is on his whole another level.. And I like how Varejao suits well with the system, biggest upset to Cavs
 
.....
No hate, Curry has revolutionized the game in his own,, the once referred to as slim and soft is killing the games in 3 quarters now? What surprises me even more is he don't dunk often
.
teheteh....and to put things into perspective...
This Year(season):He has 270+ three pointers and less than 3 dunks
Careerwise:He has 1467 3-Pointers and less than 22 dunks..
we are witnessing Greatness and making believers out of doubters...
 
Curry is amazing this season, he is doing wonders, real wonders. So far he is going to be an MVP at unanimous decision.

If he keeps doing this for next 3 to 4 seasons, he will be considered one of the great to ever play this game.
Atleast you are not intimidated by his greatness while its happening,and flip to appreciating it once it's gone.
 
“I've heard people say you need to take his space,” Curry’s trainer Brandon Payne said via phone after the game. “Well, if you get up tight on him, that's actually what we want you to do. We want you to get up tight on him because then it's going to open lanes to the basket when he plays off the high post.”
Payne, who mostly works with Curry in the offseason, doesn’t buy the idea that the old ways would trump what Curry’s currently doing.

“To say that you would completely shut him down or render him not effective with more physical defense, I don't think that's accurate. He just has too many things he can go to.

After having worked with Curry for so long, Payne believes something that’s as plausible as it is crazy: This is more of a beginning than a peak. Curry is stronger now than he was in his early 20s, and it’s helped him shoot these long-distance tries.
 
Kerr summarized Curry’s run right now, saying, “He’s doing things that nobody’s ever done before.”🙂D😀..)..
Steph Curry isn’t just great. He’s pioneering his greatness. And it’s hard to fault legends of the past for struggling to fathom a future that bears little relation.
 
Atleast you are not intimidated by his greatness while its happening,and flip to appreciating it once it's gone.

I started watching these boys in 2012-2013 season, they had Jaret Jack by then as the co PG to Curry.

My first game to see them they had these short sleeved jersey and it was my first time to see an NBA team with that kind of a jersey, their game was so impressive for real, remember lob city (LAC) were beautiful to watch by then, so I had two teams to watch whenever I wanted to see a show. While Spurs, Miami, OKC and Indiana were at peaks but their games had no many highlights as compared to GSW and LAC's.

It is when I saw Curry scoring 54 pts versus Knicks that I acknowledged him as a promising superstar he has become; hope he keeps the pace to become one of the greatest as well.

So, with all due respect, I acknowledge what Curry is doing but he has not done it to the extent that I can say he has surpassed what LBJ has done (is doing) to the game.
 
To cut the long story short...katika michezo kama basketball, football, hockey, tennis na mingine mingi kama hiyo, magoli ndiyo determining factor ya ubora wa ama timu au mchezaji. Watu humiminika uwanjani kushangilia magoli na hata timu icheze vizuri namna gani kama haifungi magoli, hiyo timu haifai (chenga twawala!). Of course wapo watu wanaojaribu kushirikisha ufungaji wa magoli na bahati na watatetea udhaifu au mapungufu ya ama timu au mchezaji kama kukosa bahati. Tuliishuhudia sana hii msimu wa NBA 2014/2015, watu walipofikia hatua ya kuiita GSW title pretenders na kudai hawafiki mbali!

Katika msimu huu timu ya GSW, imefanya maajabu ambayo hayajawahi kutokea katika historia ya NBA lakini wapo watu bado wanaibeza wakiyalinganisha mafanikio yao na mbio za sakafuni. Sababu kubwa inayowasukuma kuamini hivyo ni ama ushabiki kwa timu zao au mchezaji wao wanayempenda na hivyo kuwapofusha wasiweze kuyashuhudia maajabu yanayofanywa na hii timu msimu huu. Baada ya kucheza mechi 57, naomba niorodheshe mafanikio ambayo hayatiliwi maanani sana lakini hayana precedence katika historia ya NBA.
  1. Wastani wa magoli kila mechi (average score)
  2. Wingi wa magoli (total score)
  3. Uchache wa magoli ya kupewa (free throw)
  4. Ushindi ugenini (road wins)
  5. Ushindi baada ya kuwa nyuma (come backs)
Kwa sasa naachia hapo.
 
Katika michezo 57 waliyokwishacheza;

Michezo 6 walifikisha pointi 130 na zaidi
Michezo 14 walifikisha pointi 120 -129.
Michezo 23 walifikisha pointi 110 - 119
Michezo 12 walifikisha pointi 100 - 109
Michezo miwili Tu hawakufika 100!

Katika hiyo michezo miwili moja walishinda na wa pili walishindwa!

Ukijaribu kulinganisha hizi stats na timu zingine utapigwa na butwaa!
 
torraptors27_226273710.jpg


Kyle Lowry exposed Cavs all lead from the first quarter to a shocking comeback... Hit the 2 point buzzer with 3.8 seconds remained on the clock... And Le King James answered with airball three pointer, 99-97 and Raptors won the series.. 2-1 just as Bulls also won their series with 2-1... And DeRozan was sick on this game..

Raimundo msijipange kupambana na Warriors au Spurs wakati huko kwenu Raptors na Bulls wanawapa shida, itakuwa series ngumu sana kwenu mkikutana nao finals hawa watu... Daaah ila huyu Lowry mbaya sana, kamfanya mbaya sana Kyrie mpaka akawekwa nje teh teh teh Delly nae katolewa ulimi nje teh teh teh

CC: Tyta Mag3 King Shaat Watu8
 
torraptors27_226273710.jpg


Kyle Lowry exposed Cavs all lead from the first quarter to a shocking comeback... Hit the 2 point buzzer with 3.8 seconds remained on the clock... And Le King James answered with airball three pointer, 99-97 and Raptors won the series.. 2-1 just as Bulls also won their series with 2-1... And DeRozan was sick on this game..

Raimundo msijipange kupambana na Warriors au Spurs wakati huko kwenu Raptors na Bulls wanawapa shida, itakuwa series ngumu sana kwenu mkikutana nao finals hawa watu... Daaah ila huyu Lowry mbaya sana, kamfanya mbaya sana Kyrie mpaka akawekwa nje teh teh teh Delly nae katolewa ulimi nje teh teh teh

CC: Tyta Mag3 King Shaat Watu8

Hii ni regular season mkuu, siyo determinant ya kitakachotokea kwenye playoffs.
 
Back
Top Bottom