400-3pt Club.....He will be alone for a long long time. ...Imebakia Curry kutungua 3-pointer moja tu tuhesabu 400+ kwa msimu moja...Akiipata tu kutakuwa na standing ovation hapa Oracle. Nashukuru kuwa sehemu ya historia hii. Tunasubiri pia kuipotezea mbali na kuizika kabisa rekodi ya Da Bulls iliyodumu kwa miaka 20, go Warriors go!
That's the best they could give bruh..Atleast they are still under 30pt gap..Hawa Memphis vipi! Yaani wanashindwa kukaza game muhimu kama hii.
Hawa Memphis vipi! Yaani wanashindwa kukaza game muhimu kama hii.
Endelea kutuwakilisha huko, hapa ndio hivyo tena 73 inagonga hodi, ngoja tufungue mlango..Kila commercial break nachungulia kwa KOBE...he is having a helluva game. ..
..I see a "Jordan Move"...I hope I am wrong however...