Raimundo
JF-Expert Member
- May 23, 2009
- 13,416
- 12,618
Ninachokupendea ni mwisho wa siku unakuja kutoa hongera lakini wenzako wanaingia mitini..
Time will tell... Sisi hatutakuwa na visingizio vya Curry alikuwa mgonjwa au hakucheza.. Kitakachotokea chochote tutakikubali, hatutakimbia jukwaa kama wengine ambao walisingizia ligi haikuwa nzuri ila tunajua kama itatokea GSW ikashindwa watarudi mbio hapa.. I will qoute my this, if that happens..
Huu ni mchezo tu, mwisho wa siku usipoangalia unaweza kuugua madonda kwa sababu ya chuki zako dhidi ya timu iliyokufunga wakati wachezaji waliofungwa wako mapumzikoni wanakunywa wine huku wewe unaumia.
Ukifungwa kubali, toa sifa kwa aloyekufunga, nenda kajipange tena.