Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimaanisha kukata tamaa leo...
Mkuu, baada ya yale mabishano nilijua tu mkuu Nzi haangaliagi game za Warriors.. Sasa nadhani he can consider Warriors are the real contenders..I am glad you are seeing for the first time what we have seen since last year. 112- 69 and counting...! I remember Steph Cuury asking you to watch their game, well today you had your chance!
Home fans leaving already
After pulverizing the CAVs 132-98, the Warrior's record is now 37-5...Oops, it is 38-4!Ni kheri waende tu maana umeiona hiyo theluji iliyopo Cleveland?
Siyo worth it kabisa kuendelea kukaa hapo wakati driving conditions ni mbaya.
Kwanza nashangaa hata kwa nini TNT bado wanaionyesha mechi.
Well done to GSW...but the season is still on
After pulverizing the CAVs 132-98, the Warrior's record is now 37-5...Oops, it is 38-4!
Hivi ni wapi nimesema GSW siyo title contenders?!? Shida yangu ni overhyping juu ya Curry kusemwa the best ever. Hapo ndipo sikubali. Otherwise, yeye na timu yake wana-run the show.
Your CAVS are 0-3 against the top two teams in the West.
No need to panic but I think it portends doom if they don't figure out what the missing link is.
Ninachofurahi ni kuwa Cavs wana nafasi kubwa ya kufika finals kuliko GSW. East conference has relatively weaker teams. In the West, GSW has to play against Spurs, OKC and even Clippers.
Finals mtakutana na GSW au Spurs... Hao OKC na Clippers hakuna kitu..Hivi ni wapi nimesema GSW siyo title contenders?!? Shida yangu ni overhyping juu ya Curry kusemwa the best ever. Hapo ndipo sikubali. Otherwise, yeye na timu yake wana-run the show.
Ninachofurahi ni kuwa Cavs wana nafasi kubwa ya kufika finals kuliko GSW. East conference has relatively weaker teams. In the West, GSW has to play against Spurs, OKC and even Clippers.
![]()
Only Warriors can dethrone a King and tonight they made sure of that
Well it is Monday...knock knock knock, are you still there? Kumekucha ndugu yangu.And it is going to be 37-5 come Monday!
Yeah, right in his Castle and in front of his subjects. You have to be a Warrior to do that dude, got it? Msijali bandugu, tunachangamsha tu ukumbi.Only the Warriors can dethrone a king?