Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Timu nzuri hupata taabu sana kucheza na timu ambayo haina mpango wa Ubingwa and then kucheza huwa wanajua so huwa hawana presha ukiwangia ovyo ndio lazima uchapwe... hata Hapa Kwetu ligi iliyoisha kuna timu zimechapwa haziamini ligi ya klabu bingwa iliyoisha juzi Savio akabeba...Warriors ukiwapania utajikuta kwenye aibu tu.. Waangalie wote waliotupania kwenye regular kilichowapata..
Unakuta ni timu za ajabu tu ndizo zimetufunga tena zikiwa hata hazijafikiri kufanya hivyo.. Russel kuzikimbiza vizee vya Spurs kumempa kichwa..