NBA Season 2015 - 2016: Special thread

NBA Season 2015 - 2016: Special thread

Quorter ya mwisho sasa itakua nzuri zaidi gap limepungua points 9 tunaweza kuzirudisha na kuongeza
Go go go warriors
 
We need our defense to step up.. keep the lead on single digits on the whole forth until clutch minutes..
 
Huu wote ni upuuzi wa Draymond Green kupiga watu kwenye korodani... And for the f*ck sake yeye ndiye katucost game 5 alafu game 6 hakuna anachofanya zaidi ya point 8 tu alizofunga..
 
Harrison Barnes 0 pts.....Our starting forward. ..A soon to be free Agent
 
Huu wote ni upuuzi wa Draymond Green kupiga watu kwenye korodani... And for the f*ck sake yeye ndiye katucost game 5 alafu game 6 hakuna anachofanya zaidi ya point 8 tu alizofunga..
Kaka huwa unakuwa na overconfidence au overcowardness. Mbona sisi wenzio wa GSW hatupo hivyo. kama uliamua kutokumlaumu kabla basi acha kumlaumu sasa hivi mkuu.....
 
Game ya Leo naona Iggy ndio amekua tatizo zaidi sababu ya mgongo wake kumbuka pia iggy ndio hua anamguard James
 
Back
Top Bottom