Hajawahi kucheza vizuri kwenye finals, kwani hizi ni finals zake za ngapi?? Regular season hakuna kukabana ina maana post season ndio kuna kukabana sio??
His post season stats stands at 33.8 Minutes, 25.6 Points with 5.4 Assists.. Game 3 za mwisho kwenye series za OKC alifunga 31 Points, 31 Points, 37 Points consecutively.. Game 3 za mwisho kwenye series hizi za Cavs amefunga 38 Points, 25 Points, 30 Points..
Post season ya 2014/15 stats zake ni 39.3 MPG, 28.3 PPG, 6.4 APG.. Game 3 za mwisho against a team ulikuwa unaisifia kwa defense mwaka jana Memphis alipiga 33, 18, 32... On Western Finals akapiga 40, 23, 26.. Na finals mkiwa 2-1 game 3 za mwisho akawapiga 22, 37, 25... Kumbe hizo ni stat za mtu anayecheza Netball?? Kumbuka game 4, the most important game for Cleveland to tie things up, Curry showed up on your court and score 38 points on 40 Minutes ila Lebron alifunga 25 points in 46 Minutes ila hakuna aliyemshambulia Bron.. Hizi game zina on and off nights.. Curry si Mungu ajiamulie tu kila siku awe anacheza vizuri. Hata mchezo wa jana alicheza vizuri tu ila tatizo lilikuwa foul trouble tu..
Mnachofurahisha zaidi ni Lebron akifungwa basi yeye amekosa msaada/teammates wa kumsaidia ila Curry akishinda basi yeye anabebwa tu na teammates hana chochote, ila wakati huo huo Curry akishindwa basi lawama zote ni kwa Curry. Sasa swali langu, kama GSW inaposhinda Curry hapongezwi kwa chochote ila mnasema amebebwa na watu fulani, sasa kwanini ikishindwa mnamshambulia Curry???