tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
mimi naomba kujulishwa.....je madaktari au ma engineeer au walimu wanafanyaga mitihani ya kuwapima kama hii ya CPA(T)???? na kama hawafanyi kwa nini?
maengeneer wana bodi yao, hata sisi wagavi tunapimwa kwa CPSP, walimu hawana bodi...kuhusu madaktari sifahamu