tindikalikali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 4,854 Reaction score 1,129 Jan 13, 2013 #41 LORDVILLE said: mimi naomba kujulishwa.....je madaktari au ma engineeer au walimu wanafanyaga mitihani ya kuwapima kama hii ya CPA(T)???? na kama hawafanyi kwa nini? Click to expand... maengeneer wana bodi yao, hata sisi wagavi tunapimwa kwa CPSP, walimu hawana bodi...kuhusu madaktari sifahamu
LORDVILLE said: mimi naomba kujulishwa.....je madaktari au ma engineeer au walimu wanafanyaga mitihani ya kuwapima kama hii ya CPA(T)???? na kama hawafanyi kwa nini? Click to expand... maengeneer wana bodi yao, hata sisi wagavi tunapimwa kwa CPSP, walimu hawana bodi...kuhusu madaktari sifahamu
waubani JF-Expert Member Joined Nov 21, 2012 Posts 542 Reaction score 211 Jan 13, 2013 #42 Hivi idadi kubwa ya wanaofanya CPA wakifeli, wanaolaumiwa ni watahiniwa peke yao? walimu wanaowafundisha hawastahili lawama?
Hivi idadi kubwa ya wanaofanya CPA wakifeli, wanaolaumiwa ni watahiniwa peke yao? walimu wanaowafundisha hawastahili lawama?
Manyi JF-Expert Member Joined Dec 6, 2011 Posts 3,253 Reaction score 605 Jan 13, 2013 #43 tindikalikali said: maengeneer wana bodi yao, hata sisi wagavi tunapimwa kwa CPSP, walimu hawana bodi...kuhusu madaktari sifahamu Click to expand... Udaktari tayari ni Profession! Ukimaliza Degree ya Accountancy huwezi kuitwa Professional Accountant, mpaka upige CPA mkuu!
tindikalikali said: maengeneer wana bodi yao, hata sisi wagavi tunapimwa kwa CPSP, walimu hawana bodi...kuhusu madaktari sifahamu Click to expand... Udaktari tayari ni Profession! Ukimaliza Degree ya Accountancy huwezi kuitwa Professional Accountant, mpaka upige CPA mkuu!
Tayana-wog JF-Expert Member Joined Feb 26, 2012 Posts 24,844 Reaction score 29,126 Jan 14, 2013 #44 duh,kazi wanayo