Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Auditing is a profession na trustworthy ya report is key to stakeholders.
Iwapo madai ya Kigwangala yanaukweli upande wake aujachunguzwa na control measures za matumizi ambazo ahusiki nazo kuamua matumizi.
Wahusika wa hiyo report wamevunja kanuni za auditing ethics and obligations, makosa ambayo wanatakiwa kuvuliwa practice certificate kwa miaka kadhaa.
=====
Mbunge wa Nzega Vijijini Mhe. Dkt. Hamis Kigwangalla ametoa ya Moyoni baada ya kukutana na Waandishi wa Habari katika Viwanja vya Bunge kuhusu sakata lake alivyokuwa Waziri wa Utalii na Maliasili na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
Ripoti ya CAG aliyoifanya Jijini Dodoma mwaka jana (2021), alisema katika Wizara hiyo ya Utalii na Maliasili kulikuwa na viashiria vya abadhirifu wa Fedha kutokana na kanuni mbalimbali kukiukwa.
Jioni ya leo Dkt. Kigwangalla, aliwaambia Waandishi wa Habari kwa muda mrefu alikuwa kimya kwa kuheshimu, sasa hata nyamaza anaweka wazi tuhuma zilizokuwa zinafanywa juu yake