Wiki mbili zimepita tangu nijaze fomu kufungua account NBC nikaambiwa nisubiri ikiwa tayari watanipigia simu. Nimesubiri mpaka nimechoka kwani nilikuwa nategemea kutumia account hii kutumiwa hela yangu ya mkopo ambao upo tayari. Kuna tatizo gani nbc? Mbona bank zingine unafungua account dakika chache tuu inakuwa active. Wiki mbili kufungua account? Nawashauri jamani msijipeleke kwenye benki hii ni aibu tupu. Nilikuwa sifaham. Kumbe wanaosemaga nbc kumejaa vilaza kwa ajira za kujuana hawajakosea. Yaani libenki libovu ajabu sikutegemea. Pumbaaaaavuu kabisa.