Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Refa hausiki kwenye offside,ni kibendera anatimiza masharti ya Hela ya ZunguDaah huyu refa mpuuzi kweli kuna offside gani pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa hausiki kwenye offside,ni kibendera anatimiza masharti ya Hela ya ZunguDaah huyu refa mpuuzi kweli kuna offside gani pale
Majeruhi. Atarudi dimbani baada ya week 3
Kwamba atakuwa ntu ya dili?Huyu jamaa wa 45+2 Ni mtu wa mchongo Nini!?? Au ndo GSM wenyewe hao washapanga mpk dakika za nyongeza!?? Ni hivi amejuaje kuwa itaongezwa dakika 2 wakati mpira ulikuwa Ni dakika 40!??? Huyu jamaa TAKUKURU waanze naye anajambo analijua...!!
Tatizo wako slow kwenye final third. Wako slow Sana hawashambulii kwa nguvuDodoma wamekamatia dimba vizuri kabisa
Navp yule kibendera muongo muongo kule Takukuru hawatakiwi kuanza naye?Huyu jamaa wa 45+2 Ni mtu wa mchongo Nini!?? Au ndo GSM wenyewe hao washapanga mpk dakika za nyongeza!?? Ni hivi amejuaje kuwa itaongezwa dakika 2 wakati mpira ulikuwa Ni dakika 40!??? Huyu jamaa TAKUKURU waanze naye anajambo analijua...!!
Wamenuna tu Hadi midomo inavunda 🤣Makoloo ubao unasomaje
Kadi 3Kambini Aliko Mugalu na Banda
Kipindi cha pili watarekebisha makosa,makolo wajiandae kisaikolojiaTatizo wako slow kwenye final third. Wako slow Sana hawashambulii kwa nguvu
Game imemshinda tayarinyoni amechemsha atolewe
Yule kibendera ahaha kulinda muamalaIle Offside Duuh [emoji23][emoji23]
Yule kibendera angle aliyokaa ndo imezaa matokeo ya offside! Kumbuka inshu ya Chelsea na kamera angle! Iliwapa matokeo gani kwenye VAR!???Navp yule kibendera muongo muongo kule Takukuru hawatakiwi kuanza naye?
Na hapa huwezi waona
Var nayo ni yamchongo tuYule kibendera angle aliyokaa ndo imezaa matokeo ya offside! Kumbuka inshu ya Chelsea na kamera angle! Iliwapa matokeo gani kwenye VAR!???
Tatizo sio build up Tatizo katikati pako wazi. Anahitajika mtu solid katikati ma sio mkimbiaji kama MorrisonMorrison anahitajika mapema...simba
Hakuna build up