Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Bwana mdogo nasoro kawaficha chama na sakho hakika Tz kuna vipaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwana mdogo nasoro kawaficha chama na sakho hakika Tz kuna vipaji
Aaah baki huko huko mkuuHii team ya hovyo Sana
Kwanzia leo nahama simba bora boko akachunge ng'ombe wa mayele
Wakiambiwa Wakachunge ng'ombe wa mayele hawataki.
Hapana tunahitaji kiungo mnyumbulifu kama Fei toto.Tatizo sio build up Tatizo katikati pako wazi. Anahitajika mtu solid katikati ma sio mkimbiaji kama Morrison
Team gani hili hadi penalty tunapewa bado tunakosa? Wakati wenzetu wanafunga magoli halali?Aaah baki huko huko mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii team ya hovyo Sana
Kwanzia leo nahama simba bora boko akachunge ng'ombe wa mayele
Unamfundisha ndugu wa zidane kweli wewe?Ugonjwa wa Simba bdo ule ule haujaupata dawa! Wanakabia macho , kitu kinachotoa nafasi kwa timu hata dhaifu kucheza mchezo wao kwa Uhuru mkubwa na kupanga game vile watakavyo bila disturbance! SIMBA WAACHANE NA VITU VYOTE WAANZE KUFANYIA KAZI KUKABA! KUKABA!
Mbona tupo?Na hapa huwezi waona
Vumilia tuTeam gani hili hadi penalty tunapewa bado tunakosa? Wakati wenzetu wanafunga magoli halali?
Upo kwenye handaki gani mkuu?Mbona tupo?
Ulipo nipoUpo kwenye handaki gani mkuu?
Msikimbie mtadhinda mkuu,hizo Panadol Wala usimeze .....na huyo mtoto uliyemtuma akanunue dawa za pressure mrudishe tuSecond half
Ngoja nikuchungulie hapo kwenye handakiUlipo nipo
Sisi huwa hatukimbiiMsikimbie mtadhinda mkuu,hizo Panadol Wala usimeze .....na huyo mtoto uliyemtuma akanunue dawa za pressure mrudishe tu
Ujue mmepoteza mvutoLeo uzi haujawekwa neno "Live" utasema sio mabingwa wa nchi ndo wanancheza