NBC Premier League|Biashara United 1- 1 Young Africans|CCM Kirumba Stadium|Kick Off:16:00

Yanga kabakisha point 3 kuchukua ubingwa, akimpiga coatal union tayari anakua bingwa.
 
Who Told You?
 
Mechi Ijayo Tukimfunga Coastal Union Mchezo Utakuwa Umeishia Hapo.
 
Jana Simba,leo Uto,kilamtu keshamaliza jambo lake huko mwanza sasa tukutane semi ya FA.
 
Topolo msibweteke timu yenu ya kawaida sana.... tena bahati yenu mechi imechezwa Kirumba.
 
Hesabu zako haziko Sawa, Leo Yanga kafikisha point 64, Simba akishinda Mechi zake 5 atakuwa na point 66 Kwani Sasa hivi ana point 51. Kwa hiyo Yanga akishinda Mechi 1 tu anafikisha points 67 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Kwenye nyuzi za updates Uto wako nyuma sana, ila ukienda kwenye special thread yao utaona mtiririko wa comments halafu page ya 1-4 ni comments za mtu mmoja
Sasa ubingwa upo mkononi tayari updates za nini! Sisi tunaenda uwanjani tupo busy kuishangilia timu ya wananchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…