Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Yanga kabakisha point 3 kuchukua ubingwa, akimpiga coatal union tayari anakua bingwa.Huu ubingwa Yanga wanaupata kwa manyanyaso sana. Kipindi kama hiki miaka minne iliyopita Simba alikuwa ashatangaza ubingwa. Yanga wangeahinda leo walikuwa wanabakisha mechi moja tu kutangazwa ubingwa sasa ona Biashara wanaharibu mipango, Yanga watahitaji mechi mbili tena