Ni swali tu ndugu zangu, mwenye majibu naomba anieleweshe, au kama ziliwahi kucheza mchana wa jua kali la saa 8 basi nikumbushwe, ilikuwa lini na wapi?
Hatuwezi kuwa na ligi moja ya soka yenye upendeleo wa kijinga kabisa kama huu halafu tukatarajia maendeleo.
Na umeshajiuliza, ni kwa nini timu zingine, tofauti na Yanga, Azam na Simba, inazipeleka Simba na Yanga viwanja tofauti na mikoa waliopo? Hata hizo timu zichezeshwazo mchana, zikiwa nyumbani, hazitapenda michezo yao ichezwe mchana!
Na umeshajiuliza, ni kwa nini timu zingine, tofauti na Yanga, Azam na Simba, inazipeleka Simba na Yanga viwanja tofauti na mikoa waliopo? Hata hizo timu zichezeshwazo mchana, zikiwa nyumbani, hazitapenda michezo yao ichezwe mchana!