BENETH MENGELE
Member
- Sep 16, 2017
- 20
- 8
Banki ya NBC Tanzania ninaomba muondoe kero hii.
Hatuna haja kutumia ATM kuweka hela kwenye akaunti. Nataka na ni maoni ya wateja wengi kwanini hamuendi kwa kasi. Tunataka tuweke hela kwenye akaunti kwa njia ya simu kama benki zingine zilivyookoa muda wateja wake.
Kutuma hela kwenye akaunti kwa njia hiyo ni mtandao mpana na unaondoa usumbufu mkubwa.
Hatuna haja kutumia ATM kuweka hela kwenye akaunti. Nataka na ni maoni ya wateja wengi kwanini hamuendi kwa kasi. Tunataka tuweke hela kwenye akaunti kwa njia ya simu kama benki zingine zilivyookoa muda wateja wake.
Kutuma hela kwenye akaunti kwa njia hiyo ni mtandao mpana na unaondoa usumbufu mkubwa.