Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
YametimiaKuna kila dalili mwenye Uzi kuukimbia Uzi wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YametimiaKuna kila dalili mwenye Uzi kuukimbia Uzi wake
Ni matesoNafasi ya pili imekuwa na ushindani sana
Yani leo akikaa Azam basi kesho Yanga anapindua meza.
Ni mateso [emoji30][emoji30]Hao hata hiyo nafasi ya tatu naona km wanafaidi sana, inatakiwa hata hapo wachomolewe
Vipi kwa sasaInachoma kama pasi
Mambo ya mwasibu mwenye gundu hayo.😀😀😀😀😀😀😀Cheeeeeiiiiii
HaHhahahahha alionywa mapemaHuu uzi baadae usije ukaukimbia kama ule wa kihasibu
Unaendeleaje na hali mkuuNaona mpambano ni mkali kati ya NYUMA MWIKO FC NA KMC katika kugombea nafasi ya 3 sababu tofauti yao ni alama 2 tu.
Ni matesoInachoma kama pasi
mkuu hali yangu ni sawa na ya mleta thread.Unaendeleaje na hali mkuu
😁Nafasi ya pili imekuwa na ushindani sana
Yani leo akikaa Azam basi kesho Yanga anapindua meza.
Dah!! Mwasibu ni bure kabisa. Yaani mechi mbili tu tayari anashangilia!! 😁Hatimae tumerudi kileleniView attachment 2859858
SAMALEKO SHEKH MKUU_NDUGU YANGU.Naona mpambano ni mkali kati ya NYUMA MWIKO FC NA KMC katika kugombea nafasi ya 3 sababu tofauti yao ni alama 2 tu.