NCCR-Mageuzi naona ni bora kuachana CHADEMA tu

NCCR-Mageuzi naona ni bora kuachana CHADEMA tu

Mama D nadhani ungejikita zaidi na mapishi kwa baba yeyoo kuliko huku kwenye siasa maana siku zote unakuwa hatua 100 nyuma.

Kupika napika vizuri sana kiasi kwamba baba yeyooo hajawahi athirika na comments zangu kama zinavyokuathiri wewe jirani

Hata hizo hatua 100 unasema nimerudi nyuma unaziona wewe kwa kile unachokiamini; labda uniambie nimerudi nyuma kutokea wapi hadi wapi😃

Halafu mimi sio mwanasiasa ila ni mtanzania huru ndani ya taifa lenye siasa zake; sasa wewe kuniambia nisijadili kitu ambacho ni maisha yangu ya kila siku ilhali wewe unakijadili ETI KWA POINT KWAMBA NATAKIWA KUJIKITA KUPIKA ni UKATILI NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA
 
Siasa inabadilika kila wakati kulingana na maitaji ya wakati husika, lakini moja ya vitu vinavyotisha na kusononesha ni vitendo vya wafuasi wa CHADEMA kuishambulia NCCR-Mageuzi!

Mbatia amekuwa bega kwa bega na CHADEMA hasa katika mapito ya chama hicho, kesi Mbowe NCCR-Mageuzi imeweka mawakili lakini bado Mbatia amesema sana kuhusu Mbowe. Leo wafuasi wa CHADEMA bado watoa mbovu sana tu kwa Mbatia!

Ni bora NCCR-Mageuzi kuachana nao kabisa kwa sababu hata Mbowe mwenyewe amekaliliwa sana akimkosea Mbatia adabu ila Mbatia hajawahi kutaka kulipiza dhidi ya Mbowe. CHADEMA inafikiri wao tu wenyewe watashinda, basi washinde tu naona 2020 walishinda pia.
Lini CHADEMA imeomba msaada toka kwa NCCR?
 
Siasa inabadilika kila wakati kulingana na maitaji ya wakati husika, lakini moja ya vitu vinavyotisha na kusononesha ni vitendo vya wafuasi wa CHADEMA kuishambulia NCCR-Mageuzi!

Mbatia amekuwa bega kwa bega na CHADEMA hasa katika mapito ya chama hicho, kesi Mbowe NCCR-Mageuzi imeweka mawakili lakini bado Mbatia amesema sana kuhusu Mbowe. Leo wafuasi wa CHADEMA bado watoa mbovu sana tu kwa Mbatia!

Ni bora NCCR-Mageuzi kuachana nao kabisa kwa sababu hata Mbowe mwenyewe amekaliliwa sana akimkosea Mbatia adabu ila Mbatia hajawahi kutaka kulipiza dhidi ya Mbowe. CHADEMA inafikiri wao tu wenyewe watashinda, basi washinde tu naona 2020 walishinda pia.
Mku mm ni mwanaccm ila kwa hili hapana tusishiriki kuvigawa hivi vyama. Kwani kusimama Mbatia kuviunganisha wapinzani wenzake ndo tunaanza kuchochea tena.
Mi
Ila kuungana kwa hivi vyama ni pengo chama changu ccm
 
Back
Top Bottom