NCCR-Mageuzi: Wananchi wanataka kujua mahali aliko Rais wao kipenzi

Kwa mujibu wa Majaliwa huyu anayeuliziwa akitoka hadharani atakuwa anazurura. Je, ina maana hatutamwona tena hadharani? Na akija kuonekana hadharani tujue ni mzuriraji? Yaani atakuwa anazurura?
 
Majaliwa alisema, “kiongozi huyo mkuu wa nchi, anaendelea vizuri na anachapa kazi zake kama kawaida.”. Kwa wale waliofika angalau darasa la Saba wanaielewaje kauli hii ya huyu kiongozi wetu?
 
Hajafa kafungua macho alfajirii baada ya kuwa amekata kauli toka tarehe 4/3 ina maana zaidi ya siku kumi kuwa kwenye machine hajitambui, haonekani kuwa timamu ....japo watalazimisha aanze kutoa maagizo ,kwenye nchi inayofuata katiba angehitaji miezi kadhaa ya kuangalia afya yake ....
 
Mbatia ana namba ya mkuu, ampigie waongee, toka mwanzo hutuma sms za kumtia moyo, waziri amesema tumwache anachapa kazi!
 
So what?
 
Huu uzi umefufuliwa upya, kulikoni??
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…