Uchaguzi 2020 NCCR Mageuzi watikisa Arumeru Mashariki

Uchaguzi 2020 NCCR Mageuzi watikisa Arumeru Mashariki

Yale magari aliyonunuliwa Yuda Iskarioti Mbatia na Mhutu a.k.a Mr Mayanga hamkupewa huko mfanyie kampeni ?
 
Ni bora Nccr mageuzi sio Wasaliti wa Nchi km kile chama cha ufipa

Yaonyesha wale wa ufipa wamewashika pabaya. Kutwa kucha kuwawaza wao.

Hadi Oct 28 tutasikia mengi kuhusu usaliti.

Hata hivyo hayupo aliye msaliti kuliko anayetupora haki na uhuru wetu. Mkoloni mweusi huyu ni mbaya kuliko shetani mwenyewe!
 
Mgombea Ubunge jimbo la Arumeru Mashariki kupitia chama cha Nccr Mageuzi Evva kaaya amezindua kampeni zake kwa kishindo huku akimwaga Sera ya kusaidia wanawake watoto kupata haki sawa na kuimarisha Afya kwa kila kata kupata zahanati.

Akizungumza katika viwanja vya shule ya msingi Nkoanrua Evva amesema kwamba kikubwa kilicho msukuma kugombea ubunge jimbo la Arumeru Mashariki ni kusaidia wananchi kupata maendeleo katika kipindi cha miaka mitano cha utumishi wake.


Amesema jimbo hilo kwa muda limekosa mwakilishi mwenye uchungu wa maendeleo na wengine waliopota kuwa wabunge wamekuwa wakijinufaisha wenyewe na sio kuleta maendeleo.

Aidha amesema endapo atachaguliwa atakikisha anafanya kazi ya uwakilishi ya kuleta maendeleo kwa wananchi baada ya kuwatumikia vyema kwa mika mitano akiwa Diwani wa ambapo ameleta maendeleo makubwa katika kata Nkoanrua

Naye msimamizi wa uchaguzi kupitia Nccr Mageuzi Taifa Atonny Komu ambaye pia ni Mgombea Ubunge jimbo la Moshi vijijini amesema chama chao kimemsimamisha Evva kwani historia ya jimbo hilo lilisha ongozwa na chama hicho Mwakab 1995 hivyo wananchi wana imani kubwa na Nccr Mageuzi

Amesema watajikita kutatua changamoto za wananchi katika majimbo yote walio simamisha wagombea nchi nzima kwani sera yao ni kutumikia wananchi na kupata haki sawa na maendeleo.

Kwa upande wao wananchi waliojitokeza kusikiliza Sera katika ufunguzi wa kampeni hizo wamesema kwamba wamekuwa na utuba za mgombea na wana imani endapo watamchagua wqtakua wamemoata mwakilishi sahihi wa kutatua matatizo yao.

View attachment 1567613View attachment 1567614
Sawaaa
Hii ni kete ya Turufu ya mama Tanzania
 
Back
Top Bottom