NCCR Mageuzi
Member
- Oct 3, 2007
- 23
- 63
Tarehe 16 Januari, 2021 siku ya Jumamosi chama kilifanya Kikao cha Halmshauri kuu ya Taifa kwenye ukumbi wa msimbazi Center, Jijini Dar es Salaam.
Kikao hicho kilikuwa na ajenda kuu 2
Imetolewa na
Edward Julius Simbeye
Mkuu wa Idara ya Uenezi
Kikao hicho kilikuwa na ajenda kuu 2
- Kufanya tathimini ya uchaguzi wa mwaka 2020
- Kujaza nafasi zilizo wazi ndani ya chama.
- Katibu Mkuu Taifa
- Ndugu Martha Raphael Chiomba
- Naibu katibu Mkuu Bara
- Ndugu Anthony Calist Komu
- Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
- Ndugu Ameir Mshindani
- Mweka Hazina wa Taifa
- Ndugu Susan Peter Maselle
- Ndugu Mustafa Muro- Bara
- Ndugu Joyce Mfinanga- Bara
- Ndugu Boniface Mwabukusi- Bara
- Ndugu Habiba S. Mohamedi- Bara
- Ndugu Leila Rajabu-Zanzibar
- Ndugu Anthony J. Nyoni-Zanzibar
Imetolewa na
Edward Julius Simbeye
Mkuu wa Idara ya Uenezi