Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Ripoti ya Afrobarometer iliyochapishwa hivi karibuni, imebaini kuwa huduma za polisi barani Afrika zinakabiliwa na changamoto kubwa za uadilifu na weledi, huku asilimia ndogo ya raia wakiridhika na utendaji wa vyombo hivyo vya usalama.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyokusanya maoni ya raia kati ya mwaka 2021 na 2023, ni mmoja tu kati ya Waafrika watatu anayesema anaridhishwa na utendaji wa polisi.
Kwenye list hii hakuna nchi yoyote ya Afrika Mashariki, tazama;
1. Botswana
2. Afrika Kusini
3. Benin
4. Tunisia
5. Senegal
6. Sao Tome na Principe
7. Seychelles
8. Ghana
9. Cape Verde
10. Lesotho
Chanzo: Business Insider Afrika
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyokusanya maoni ya raia kati ya mwaka 2021 na 2023, ni mmoja tu kati ya Waafrika watatu anayesema anaridhishwa na utendaji wa polisi.
Kwenye list hii hakuna nchi yoyote ya Afrika Mashariki, tazama;
1. Botswana
2. Afrika Kusini
3. Benin
4. Tunisia
5. Senegal
6. Sao Tome na Principe
7. Seychelles
8. Ghana
9. Cape Verde
10. Lesotho
Chanzo: Business Insider Afrika