Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Tanzania ipo kwenye huduma nzuri za uganga wa kienyeji na imani za kishirikina.Ripoti ya Afrobarometer iliyochapishwa hivi karibuni, imebaini kuwa huduma za polisi barani Afrika zinakabiliwa na changamoto kubwa za uadilifu na weledi, huku asilimia ndogo ya raia wakiridhika na utendaji wa vyombo hivyo vya usalama.
View attachment 3168156
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyokusanya maoni ya raia kati ya mwaka 2021 na 2023, ni mmoja tu kati ya Waafrika watatu anayesema anaridhishwa na utendaji wa polisi.
1. Botswana
2. Afrika Kusini
3. Benin
4. Tunisia
5. Senegal
6. Sao Tome na Principe
7. Seychelles
8. Ghana
9. Cape Verde
10. Lesotho
Chanzo: Business Insider Afrika
EA?Ripoti ya Afrobarometer iliyochapishwa hivi karibuni, imebaini kuwa huduma za polisi barani Afrika zinakabiliwa na changamoto kubwa za uadilifu na weledi, huku asilimia ndogo ya raia wakiridhika na utendaji wa vyombo hivyo vya usalama.
View attachment 3168156
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyokusanya maoni ya raia kati ya mwaka 2021 na 2023, ni mmoja tu kati ya Waafrika watatu anayesema anaridhishwa na utendaji wa polisi.
1. Botswana
2. Afrika Kusini
3. Benin
4. Tunisia
5. Senegal
6. Sao Tome na Principe
7. Seychelles
8. Ghana
9. Cape Verde
10. Lesotho
Chanzo: Business Insider Afrika
Ningeshangaa kama Tanzania ingekuwepo.Ripoti ya Afrobarometer iliyochapishwa hivi karibuni, imebaini kuwa huduma za polisi barani Afrika zinakabiliwa na changamoto kubwa za uadilifu na weledi, huku asilimia ndogo ya raia wakiridhika na utendaji wa vyombo hivyo vya usalama.
View attachment 3168156
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyokusanya maoni ya raia kati ya mwaka 2021 na 2023, ni mmoja tu kati ya Waafrika watatu anayesema anaridhishwa na utendaji wa polisi.
Kwenye list hii hakuna nchi yoyote ya Afrika Mashariki, tazama;
1. Botswana
2. Afrika Kusini
3. Benin
4. Tunisia
5. Senegal
6. Sao Tome na Principe
7. Seychelles
8. Ghana
9. Cape Verde
10. Lesotho
Chanzo: Business Insider Afrika
SA hapana nakataaRipoti ya Afrobarometer iliyochapishwa hivi karibuni, imebaini kuwa huduma za polisi barani Afrika zinakabiliwa na changamoto kubwa za uadilifu na weledi, huku asilimia ndogo ya raia wakiridhika na utendaji wa vyombo hivyo vya usalama.
View attachment 3168156
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyokusanya maoni ya raia kati ya mwaka 2021 na 2023, ni mmoja tu kati ya Waafrika watatu anayesema anaridhishwa na utendaji wa polisi.
Kwenye list hii hakuna nchi yoyote ya Afrika Mashariki, tazama;
1. Botswana
2. Afrika Kusini
3. Benin
4. Tunisia
5. Senegal
6. Sao Tome na Principe
7. Seychelles
8. Ghana
9. Cape Verde
10. Lesotho
Chanzo: Business Insider Afrika
Kweli kabisaaaNilitegemea kuona wenzetu wa 0 rushwa wapo, akina kgm. Tanzania kuingia hapo nadhani tuipe kama karne zingine 2 ama tatu.π
tz tuna police force sio police serviceRipoti ya Afrobarometer iliyochapishwa hivi karibuni, imebaini kuwa huduma za polisi barani Afrika zinakabiliwa na changamoto kubwa za uadilifu na weledi, huku asilimia ndogo ya raia wakiridhika na utendaji wa vyombo hivyo vya usalama.
View attachment 3168156
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyokusanya maoni ya raia kati ya mwaka 2021 na 2023, ni mmoja tu kati ya Waafrika watatu anayesema anaridhishwa na utendaji wa polisi.
Kwenye list hii hakuna nchi yoyote ya Afrika Mashariki, tazama;
1. Botswana
2. Afrika Kusini
3. Benin
4. Tunisia
5. Senegal
6. Sao Tome na Principe
7. Seychelles
8. Ghana
9. Cape Verde
10. Lesotho
Chanzo: Business Insider Afrika
polisi wa kwazulu natal wanapiga kazi sana, kamanda wao Gen mkhwanazi anasifika SA nzima kwa utendaji wake.SA hapana nakataa
Polisi bongo wakijuwa una mpunga lazima waje wakutemesheBotswana π§πΌ hiyoo nchi wanaishi kama. Wapo peponi hawana mamboo mengi aseee Tanzania πΉπΏ njaaa polisi anakupa kesi anataka tuu pesa yaan polisi na raia ni maadui kabisaaa
We jamaa embu achaga ulevi.Tanzania ipo kwenye huduma nzuri za uganga wa kienyeji na imani za kishirikina.
Nawapongeza Kenya, Uganda, Rwanda na Zambia, zimbabwe na Egypt kwa kuwemo kwenye listRipoti ya Afrobarometer iliyochapishwa hivi karibuni, imebaini kuwa huduma za polisi barani Afrika zinakabiliwa na changamoto kubwa za uadilifu na weledi, huku asilimia ndogo ya raia wakiridhika na utendaji wa vyombo hivyo vya usalama.
View attachment 3168156
Kwa mujibu wa ripoti hiyo iliyokusanya maoni ya raia kati ya mwaka 2021 na 2023, ni mmoja tu kati ya Waafrika watatu anayesema anaridhishwa na utendaji wa polisi.
Kwenye list hii hakuna nchi yoyote ya Afrika Mashariki, tazama;
1. Botswana
2. Afrika Kusini
3. Benin
4. Tunisia
5. Senegal
6. Sao Tome na Principe
7. Seychelles
8. Ghana
9. Cape Verde
10. Lesotho
Chanzo: Business Insider Afrika
Umesema ukweli kabisa!Tanzania ipo kwenye huduma nzuri za uganga wa kienyeji na imani za kishirikina.
KabisaaPolisi bongo wakijuwa una mpunga lazima waje wakutemeshe
Ova