Nchi 10 zinazoongoza kwa kununa, wivu, chuki, machungu na majungu duniani

Yaani hata ukifanya kautafiti kadogo kwenye uzi huu utajua tu. Watanzania wanapenda sana kulia lia. Kutoka chee hadi machweo. Uswahili bana.
 
Huu utakuwa ujinga wa kiwango cha lami.
Hatuna vita halafu tuzidiwe na Somalia ,Libya na hata Rwanda?
Hao watafiti wametumia vigezo gani kutoa hitimisho hili la ajabu?

Wewe jiulize pamoja na vita Somalia na Sudan na kote huko, hutawakuta wakijidharirisha kama kwenye hii video

 
Upumbavu wenu na ukabila wenu pelekeni huko huko kwenu, msituambukize ukabila na roho mbaya zenu, kama mumefikia kiwango cha kuwasimanga na kuwasema viumbe dhahifu ambao ni walemavu hawana uwezo wa kujitagutia maisha, inaonyesha ni kwa jinsi gani mlivyo wanyama wa porini. Kuna wakenya wamejaa katika jela za Tanzania waliojihusisha na ujambazi uliosababisha maisha ya watanzania wengi kupotea, lakini bado hatuwasimangi. Ninyi ni sawa na wanyama wa porini, endeleeni kuchinjana kutokana na ukabila wenu.
 
 
If this failed and broke state is happier than us Uhuru will loot them until forever and today Raila is drinking coffee at statehouse laughing at his comfort with his fellow president

But if Libya is ahead of us I won't argue the validity of this crap
 
Take a deep breath and try to cool down. You don't have to be so angry and sad about this. Are you Tanzanian? πŸ˜€
 
Mijitu ya kenya ina shida na njaa kama kufa!
 
Magufuli njoo huku watakata kukugombanisha na watu.
Eti sisi watanzania hatuna furaha?
Kwanni hio tume inataka kutufarakanisha na rais wetu kipenzi cha mawaziri wa kike.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…