Nchi 10 zinazoongoza kwa kununa, wivu, chuki, machungu na majungu duniani

Nchi 10 zinazoongoza kwa kununa, wivu, chuki, machungu na majungu duniani

Yaani hata ukifanya kautafiti kadogo kwenye uzi huu utajua tu. Watanzania wanapenda sana kulia lia. Kutoka chee hadi machweo. Uswahili bana.
 
Huu utakuwa ujinga wa kiwango cha lami.
Hatuna vita halafu tuzidiwe na Somalia ,Libya na hata Rwanda?
Hao watafiti wametumia vigezo gani kutoa hitimisho hili la ajabu?

Wewe jiulize pamoja na vita Somalia na Sudan na kote huko, hutawakuta wakijidharirisha kama kwenye hii video

 
Upumbavu wenu na ukabila wenu pelekeni huko huko kwenu, msituambukize ukabila na roho mbaya zenu, kama mumefikia kiwango cha kuwasimanga na kuwasema viumbe dhahifu ambao ni walemavu hawana uwezo wa kujitagutia maisha, inaonyesha ni kwa jinsi gani mlivyo wanyama wa porini. Kuna wakenya wamejaa katika jela za Tanzania waliojihusisha na ujambazi uliosababisha maisha ya watanzania wengi kupotea, lakini bado hatuwasimangi. Ninyi ni sawa na wanyama wa porini, endeleeni kuchinjana kutokana na ukabila wenu.
 
Huu utafiti umefanywa kisayansi, kwamba nyingi zipo Afrika na ni sababu tosha kwanini hili bara linaongoza kwa umaskini, maana limebarikiwa kwa raslimali za kila aina, vivutio bora vya watalii, madini, bahari, maziwa, mito na kila kitu lakini limejaa watu wenye machungu na majungu, wanaoishi kwa kuonena wivu na chuki kila uchao.

Trump alilitukana hili bara tukapiga makelele lakini ndio hivyo hamna jinsi. Nchi tatu zinazoongoza duniani kwa hayo yote ni kama vile Afrika ya Kati, Burundi na kakake Tanzania. Yaani Burundi na Tanzania ni ndugu wa kufaana, wamewakilisha Afrika ya Mashariki bila kukawia. Hii ni wazi kwanini mada zote za mafanikio ya Kenya hazitaisha matusi ya kutokea kwa Watanzania maana ndio hulka yao.

Ndio maana kunao wanaokesha huku upande wa Kenyan news wakifuata kila taarifa nzuri za Kenya na kuzikojolea, wengine hata hawasubiri wanawe uso asubuhi kabla ya kuja huku, ni kitu kipo kwenye vinasaba (DNA), hawana jinsi ya kujikwamua, itabidi tuwe tunawaelewa.

-------------------------------------------------------------------

Eight of the 10 least happy countries in the world are in Africa, according to a United Nations-commissioned report.

The World Happiness Report (WHR), published since 2012, has found that happiness is less evident in Africa than in other regions of the world. While there are 54 African nations, the report tracks the happiness of 44 African countries polled by Gallup World Poll (GWP).
The least happy country in the world was the Central African Republic, followed by Burundi and Tanzania. Other African nations such as Rwanda, Togo, Guinea, Liberia and South Sudan were also at the bottom of the ranking of 155 countries. Algeria, Mauritius, Libya and Morocco ranked as the happiest African countries.

In contrast, Norway has jumped from 4th place in 2016 to 1st place this year, followed by Denmark, Iceland and Switzerland.

The WHR ranking is based on a simple question asked to more than 1,000 people every year in each country.

"Imagine a ladder, with steps numbered from 0 at the bottom to 10 at the top. The top of the ladder represents the best possible life for you and the bottom of the ladder represents the worst possible life for you. On which step of the ladder would you say you personally feel you stand at this time?".

In the report'section focusing on Africa, academics Valerie Møller, Benjamin J. Roberts, Habib Tiliouine and Jay Loschky analysed statistics to explain why one country is happier than another by using factors such as attitudes toward law and order, institutions and infrastructure including perceived corruption, economic strength, jobs, well-being, and other topics.

The experts found that only two out of 54 African nations – Sierra Leone and Cameroon – have made gains in happiness over the past 10 years.

"There are also considerable inequalities in life evaluations in African countries, and this inequality in happiness has increased over the past years," the report stated.

Experts, however, stressed that 21st Century Africa "is no longer associated only with 'endless famine, disease, and dictatorship'", for the Africa Rising narrative "overturned earlier stereotypes, projected a continent with a growing urban middle class market with new consumer appetites".

The African continent is home to about 16% of the world's population – some 1.2 billion people.

Eight of the 10 least happy countries in the world are in Africa, claims UN-sponsored report
IMG_20171217_094421.jpeg
 
If this failed and broke state is happier than us Uhuru will loot them until forever and today Raila is drinking coffee at statehouse laughing at his comfort with his fellow president

But if Libya is ahead of us I won't argue the validity of this crap
 
If this failed and broke state is happier than us Uhuru will loot them until forever and today Raila is drinking coffee at statehouse laughing at his comfort with his fellow president

But if Libya is ahead of us I won't argue the validity of this crap
Take a deep breath and try to cool down. You don't have to be so angry and sad about this. Are you Tanzanian? 😀
 
Wapumbavu hii video mmetunza kwenye simu zenu miaka na miaka mkizidiwa tu mnatuma humu,
Nyag'au mna akili za kijinga sana, Na bado.

Mbona zipo nyingi na zinaendelea kuongezeka, mataifa yote hata yenye vita hawajajishusha kiasi hiki, hizi hapa baadhi tu







 
Mijitu ya kenya ina shida na njaa kama kufa!
 
Magufuli njoo huku watakata kukugombanisha na watu.
Eti sisi watanzania hatuna furaha?
Kwanni hio tume inataka kutufarakanisha na rais wetu kipenzi cha mawaziri wa kike.
 
Back
Top Bottom