Nchi 20 zinazoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia duniani

Nchi 20 zinazoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia duniani

Imeloa

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
14,885
Reaction score
18,083
Ifuatayo ni orodha ya nchi 20 zinazoongoza kwa uzalishaji wa gesi asilia duniani, Tanzania gesi yetu ni cha mtoto.

1. Marekani
2. Russia
3. Iran
4. China
5. Canada nk. Endelea kusoma hapa chini:

 
Utaskia mbongo anakwambia tuna gesi, madini nk na bado hatuendelei.
Tumebarikiwa sana sisi.
Nyambav mna vitu ambavyo duniani vipo sana, kinachotakiwa dunia ya sasa ni akili, huna, tulia tuchukue hata hicho kidogo ulichonacho
 
Hiyo ya kutwambia Marekani anaongoza kwa uzalishaji wa gesi ni uongo, uongo, tu wanajitutumua wasionekane wako nyuma ya Urusi...
zamani tulidanganywa eti Marekani anaweza kupigana miaka kumi na nchi tofauti duniani bila kupumzika na bila kuomba msaada wa mafuta toka taifa lingine.. nyooooko!! kumbe uharo tu kazi yake ni kupora mafuta kwenye tu taifa tudogo kama Iraq na Afghanistan..
 
Hiyo ya kutwambia Marekani anaongoza kwa uzalishaji wa gesi ni uongo, uongo, tu wanajitutumua wasionekane wako nyuma ya Urusi...
zamani tulidanganywa eti Marekani anaweza kupigana miaka kumi na nchi tofauti duniani bila kupumzika na bila kuomba msaada wa mafuta toka taifa lingine.. nyooooko!! kumbe uharo tu kazi yake ni kupora mafuta kwenye tu taifa tudogo kama Iraq na Afghanistan..
Tulilishwa sana matango pori.
 
Kwa hiyo nani anaongoza kwa uzalishaji wa gesi??Afghanistan hakuna mafuta ya kutosha vibatari vya wachoma mahindi Dar, labda hata ungesema walienda kwanyang'anya Taliban Opium ya kutengeneza Heroin
Hiyo ya kutwambia Marekani anaongoza kwa uzalishaji wa gesi ni uongo, uongo, tu wanajitutumua wasionekane wako nyuma ya Urusi...
zamani tulidanganywa eti Marekani anaweza kupigana miaka kumi na nchi tofauti duniani bila kupumzika na bila kuomba msaada wa mafuta toka taifa lingine.. nyooooko!! kumbe uharo tu kazi yake ni kupora mafuta kwenye tu taifa tudogo kama Iraq na Afghanistan..
 
Kwa hiyo nani anaongoza kwa uzalishaji wa gesi??Afghanistan hakuna mafuta ya kutosha vibatari vya wachoma mahindi Dar, labda hata ungesema walienda kwanyang'anya Taliban Opium ya kutengeneza Heroin
Easterners hawatumii akili,wengi wao ni Waislamu, Waliokosa Visa hivyo wanaichukia sana Marekani.
Wangejua Marekani huzalisha mafuta mengi ila hayamtoshi kwa matumizi ya siku ndo maana hununua.

China pamoja na ukubwa wake bado hana matumizi makubwa ya mafuta sababu magari yao ni madogo madogo.

Pia China mafuta bei sawa na Tz
 
Sasa mbona US hatosheki na gesi yake hadi anataka kwenda kuiba Gesi ya Urusi?.
US ilimua Magufuli baada ya kutaka kuachana na Dola.
Jf raha sana.
US anatosheka vizuri sana shida yake hataki kuona nchi yoyote ije iwe world super power Kwa rasilimali yake au Kwa technology ya nchi hiyo husika. Hata Leo Tz tukiwa largest producer wa korosho kiasi Kwamba tukawa na ukwasi mkubwa hata kuleta ushawishi Duniani ushawishi ambao utampa mashaka US basi utaona pia yake mara oooooo korosho iwe inauzwa na kununuliwa Kwa Dola ya US.
 
Hiyo ya kutwambia Marekani anaongoza kwa uzalishaji wa gesi ni uongo, uongo, tu wanajitutumua wasionekane wako nyuma ya Urusi...
zamani tulidanganywa eti Marekani anaweza kupigana miaka kumi na nchi tofauti duniani bila kupumzika na bila kuomba msaada wa mafuta toka taifa lingine.. nyooooko!! kumbe uharo tu kazi yake ni kupora mafuta kwenye tu taifa tudogo kama Iraq na Afghanistan..
unaongea rumours , tunahitaj ushaidi
 
Hiyo ya kutwambia Marekani anaongoza kwa uzalishaji wa gesi ni uongo, uongo, tu wanajitutumua wasionekane wako nyuma ya Urusi...
zamani tulidanganywa eti Marekani anaweza kupigana miaka kumi na nchi tofauti duniani bila kupumzika na bila kuomba msaada wa mafuta toka taifa lingine.. nyooooko!! kumbe uharo tu kazi yake ni kupora mafuta kwenye tu taifa tudogo kama Iraq na Afghanistan..
Ndugu kama hujui jambo unatulia tulii, kuliko kuandika ulichoandika
 
US anatosheka vizuri sana shida yake hataki kuona nchi yoyote ije iwe world super power Kwa rasilimali yake au Kwa technology ya nchi hiyo husika. Hata Leo Tz tukiwa largest producer wa korosho kiasi Kwamba tukawa na ukwasi mkubwa hata kuleta ushawishi Duniani ushawishi ambao utampa mashaka US basi utaona pia yake mara oooooo korosho iwe inauzwa na kununuliwa Kwa Dola ya US.
Hiyo ndoto haitatokea, Ivory Coast anatoa Tani karibu Milioni
 
Hiyo ya kutwambia Marekani anaongoza kwa uzalishaji wa gesi ni uongo, uongo, tu wanajitutumua wasionekane wako nyuma ya Urusi...
zamani tulidanganywa eti Marekani anaweza kupigana miaka kumi na nchi tofauti duniani bila kupumzika na bila kuomba msaada wa mafuta toka taifa lingine.. nyooooko!! kumbe uharo tu kazi yake ni kupora mafuta kwenye tu taifa tudogo kama Iraq na Afghanistan..
Watu wengine hata kusoma na kuelewa hamuwezi eti mpaka muandikiwe kizigua au kisukuma. Bure kabisa.
 
Back
Top Bottom