Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Russia apewe maua yake mpaka sasa kaonesha ni mwanaume zaidi ya mara 1.
Unapigana na Ulaya yote, US na Canada lakini bado hajatetereka zaidi anatoa ONYO kuwa yajayo hayatawafurahisha NATO.
Nadhani sasa umefika wakati wa nchi za Africa na zile zisizofungamana na upande wowote kumuunga mkono Urusi ili aweze kuwaangamiza mabeberu
Unapigana na Ulaya yote, US na Canada lakini bado hajatetereka zaidi anatoa ONYO kuwa yajayo hayatawafurahisha NATO.
Nadhani sasa umefika wakati wa nchi za Africa na zile zisizofungamana na upande wowote kumuunga mkono Urusi ili aweze kuwaangamiza mabeberu