Nchi gani nyingine maadhimisho ya Siku ya Sheria Mgeni Rasmi huwa Rais?

Nchi gani nyingine maadhimisho ya Siku ya Sheria Mgeni Rasmi huwa Rais?

NewPage

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
1,321
Reaction score
2,106
JPM ndiyo alikuwa Mwanzilishi wa kucapture siku hii na kuifanya Mahakama iwe chini ya mihimili yote. Yaani nikiona hivi ninashikwa hasira sana. Ninawakumbuka akina Jaji Nyalali na angalau Samata! Yaani, sijui tumelogwa na nani hadi kufuata mfumo usiokuwepo duniani?
 
JPM ndiyo alikuwa Mwanzilishi wa kucapture siku hii na kuifanya Mahakama iwe chini ya mihimili yote. Yaani nikiona hivi ninashikwa hasira sana. Ninawakumbuka akina Jaji Nyalali na angalau Samata! Yaani, sijui tumelogwa na nani hadi kufuata mfumo usiokuwepo duniani?
Juma Juma Ibrahim, nimekuita mara mbili, jitafakari! Shame on you!
 
kenya, usa, brazil,tonga, austria, australia, haiti, malawi, nicaragua n.k.
 
JPM ndiyo alikuwa Mwanzilishi wa kucapture siku hii na kuifanya Mahakama iwe chini ya mihimili yote. Yaani nikiona hivi ninashikwa hasira sana. Ninawakumbuka akina Jaji Nyalali na angalau Samata! Yaani, sijui tumelogwa na nani hadi kufuata mfumo usiokuwepo duniani?
Kama uchaguzi wa spika mshindani anapata kura zote za ndio kwa idadi ya wabunge bila kujali absentees basi tambua magugu ni mengi sana
 
JPM ndiyo alikuwa Mwanzilishi wa kucapture siku hii na kuifanya Mahakama iwe chini ya mihimili yote. Yaani nikiona hivi ninashikwa hasira sana. Ninawakumbuka akina Jaji Nyalali na angalau Samata! Yaani, sijui tumelogwa na nani hadi kufuata mfumo usiokuwepo duniani?
Sio angalau samatta ila SEMA kuwa huyu ndo aliikataa mfumo wa mgeni radmi awe Raisi
 
Back
Top Bottom