Nchi hizi NI LAZIMA kila mtu kwenda mafunzo ya kijeshi, kwanini sio sisi?

Nchi hizi NI LAZIMA kila mtu kwenda mafunzo ya kijeshi, kwanini sio sisi?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Tazama nchi hizi ni lazima mwananchi apate mafunzo ya kijeshi.

Denimaki ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ Austria ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น
Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Finland ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ Norwei ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Korea zote mbili Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Ukiangalia nyingi ni nchi za dunia ya kwanza tena zina uchumi mzuri na usalama wake kutosha tu. UK ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง na Poland ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ nao wanataka iwe lazima.

Nimegundua AMANI na USALAMA ni vitu namba moja kwa wenzetu maana kikinuka tu hakuna chochote kinaweza kufanyika. na hatua ya kwanza ni kuhakikisha wananchi wako wote wake kwa waume wanakuwa na idea na mambo ya usalama waweze kujilinda wenyewe na kulinda nchi.

Kikinuka tu basi;
Makazini hakuendeki
Mabenki hayafanyi kazi
Zero movement huko mabarabarani labda uwe na chuma
Home penyewe hakukaliki

Hapa kwetu shida nini? Kwanini kwetu sio lazima? shida ni nini hasa?
bajeti?
Usalama mwingi au?
 
Tazama nchi hizi ni lazima mwananchi apate mafunzo ya kijeshi.

Denimaki ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ Austria ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น
Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Finland ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ Norwei ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Korea zote mbili Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Ukiangalia nyingi ni nchi za dunia ya kwanza tena zina uchumi mzuri na usalama wake kutosha tu. UK ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง na Poland ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ nao wanataka iwe lazima.

Nimegundua AMANI na USALAMA ni vitu namba moja kwa wenzetu maana kikinuka tu hakuna chochote kinaweza kufanyika. na hatua ya kwanza ni kuhakikisha wananchi wako wote wake kwa waume wanakuwa na idea na mambo ya usalama waweze kujilinda wenyewe na kulinda nchi.

Kikinuka tu basi;
Makazini hakuendeki
Mabenki hayafanyi kazi
Zero movement huko mabarabarani labda uwe na chuma
Home penyewe hakukaliki

Hapa kwetu shida nini? Kwanini kwetu sio lazima? shida ni nini hasa?
bajeti?
Usalama mwingi au?
Jambo hili ni zuri sana lakini ili lisilete madhara zaidi ya faida linahitaji kufanyika ktk nchi iliyo na ubora ktk mambo yafuatayo;

1. Uwezo wa uchumi au mifumo mizuri ktk sekta binafsi zinazowezesha ajira kwa watu wake. Hii hupunguza uwepo wa "jobless" wengi wanaoweza kuunda vikundi vya uasi ulio na mafunzo. Kwetu hapa ajira ni bomu kwa sasa.

2. Elimu ya uraia halisi iwe inafundishwa kwa ukamilifu wake ili kuwafanya watu wake kuwa wazalendo kwa nchi yao na siyo kwa vyama vya siasa au viongozi wa vyama hivyo. Hapa kwetu pamoja na kuwa na somo la uraia bado lina mapungufu mengi ya mambo yanayopaswa kufundishwa na hata pale Mwl anaponyoosha udhaifu huo kwa kuchopeka uhalisia kuandamwa na kuongea kuwa ni adui anayehatarisha chama tawala.

3. Uimara wa mifumo ya kitaasisi ikiwemo katiba na usimamizi wa utekelezaji wake siyo tu kwa viongozi bali pia kwa wananchi wa taifa husika. Hapa kwetu bado hata wananchi waliowengi hawajui umuhimu wa katiba na viongozi wetu wamekuwa wakiwaaminisha wananchi kuwa katiba siyo chakula na kwamba haiwezi kujenga wa kumpa hela..
 
Tazama nchi hizi ni lazima mwananchi apate mafunzo ya kijeshi.

Denimaki ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ Austria ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น
Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Finland ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ Norwei ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Korea zote mbili Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Ukiangalia nyingi ni nchi za dunia ya kwanza tena zina uchumi mzuri na usalama wake kutosha tu. UK ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง na Poland ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ nao wanataka iwe lazima.

Nimegundua AMANI na USALAMA ni vitu namba moja kwa wenzetu maana kikinuka tu hakuna chochote kinaweza kufanyika. na hatua ya kwanza ni kuhakikisha wananchi wako wote wake kwa waume wanakuwa na idea na mambo ya usalama waweze kujilinda wenyewe na kulinda nchi.

Kikinuka tu basi;
Makazini hakuendeki
Mabenki hayafanyi kazi
Zero movement huko mabarabarani labda uwe na chuma
Home penyewe hakukaliki

Hapa kwetu shida nini? Kwanini kwetu sio lazima? shida ni nini hasa?
bajeti?
Usalama mwingi au?
Mwanzo umeandika vizuri lakini huku mwisho unaonekana ata ulichokiandika hukijui.,

Ulisema hizo ni nchi za dunia ya kwanza kwamba zina uchumi mzuri, sasa huko kwenu Tz mtaweza wapi kuwapeleka watu jeshini, huo utaratibu una gharimu hela nyingi sana na equipments ambazo kwa nchi yenu hamjaweza ku-afford na sio hapo tu ata hao waliokwishaajiriwa jeshini permanent wanalia ukata

Nchi za ulaya na nchi kama South Korea ni nchi ambazo nature ya matishio yake ni makubwa tofauti na huko kwenu., ilipoisha vita ya pili ya dunia nchi nyingi za ulaya kuna tishio la mipaka yake lakini pia tishio la mirengo wanayounga mkono kwamba inaleta athari kwa mataifa mengine kama ilivyo vita ya urusi na Ukrean sasahivi.

Kwa hiyo suluhisho lao ni kuji-engage kwenye vita muda wote tofauti na huko kwenu ambako mnalinda mipaka tu lakini hata majirani zenu nao pia muna hali sawa hoi bintaaban hakuna anawezeka kupigana labda litokee kubwa na hakuna budi, Tanzania ni nchi maskini piganeni na njaa zenu kwanza na muwalipe mishahara mizuri kwanza hao waliojeshini ndio mtenge bajeti ya kuwalipa kila mwananchi apitie jeshini
 
Tazama nchi hizi ni lazima mwananchi apate mafunzo ya kijeshi.

Denimaki ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ Austria ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น
Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Finland ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ Norwei ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Korea zote mbili Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Ukiangalia nyingi ni nchi za dunia ya kwanza tena zina uchumi mzuri na usalama wake kutosha tu. UK ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง na Poland ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ nao wanataka iwe lazima.

Nimegundua AMANI na USALAMA ni vitu namba moja kwa wenzetu maana kikinuka tu hakuna chochote kinaweza kufanyika. na hatua ya kwanza ni kuhakikisha wananchi wako wote wake kwa waume wanakuwa na idea na mambo ya usalama waweze kujilinda wenyewe na kulinda nchi.

Kikinuka tu basi;
Makazini hakuendeki
Mabenki hayafanyi kazi
Zero movement huko mabarabarani labda uwe na chuma
Home penyewe hakukaliki

Hapa kwetu shida nini? Kwanini kwetu sio lazima? shida ni nini hasa?
bajeti?
Usalama mwingi au?
Siyo kila kitu cha kuiga ..kwetu africa ni hatari zaidi kufanya hivyo kwa sababu matatizo yetu africa yanatoka ndani yetu ...hivyo hao watakaopatiwa mafunzo na kuachwa kwenye umasikini unajua nini madhara yake....hizo nchi ulizo taja watu wana ajira za kutosha ...mafunzo ya kijeshi pasipo ajira ni kuwafundisha watu ujambazi
 
Tazama nchi hizi ni lazima mwananchi apate mafunzo ya kijeshi.

Denimaki ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ Austria ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น
Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Finland ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ Norwei ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Korea zote mbili Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Ukiangalia nyingi ni nchi za dunia ya kwanza tena zina uchumi mzuri na usalama wake kutosha tu. UK ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง na Poland ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ nao wanataka iwe lazima.

Nimegundua AMANI na USALAMA ni vitu namba moja kwa wenzetu maana kikinuka tu hakuna chochote kinaweza kufanyika. na hatua ya kwanza ni kuhakikisha wananchi wako wote wake kwa waume wanakuwa na idea na mambo ya usalama waweze kujilinda wenyewe na kulinda nchi.

Kikinuka tu basi;
Makazini hakuendeki
Mabenki hayafanyi kazi
Zero movement huko mabarabarani labda uwe na chuma
Home penyewe hakukaliki

Hapa kwetu shida nini? Kwanini kwetu sio lazima? shida ni nini hasa?
bajeti?
Usalama mwingi au?
maisha sio kuigana kila mtu ana uhuru wa kupanga na kuamua kama mtu/ nchi huru.
 
Mwanzo umeandika vizuri lakini huku mwisho unaonekana ata ulichokiandika hukijui.,

Ulisema hizo ni nchi za dunia ya kwanza kwamba zina uchumi mzuri, sasa huko kwenu Tz mtaweza wapi kuwapeleka watu jeshini, huo utaratibu una gharimu hela nyingi sana na equipments ambazo kwa nchi yenu hamjaweza ku-afford na sio hapo tu ata hao waliokwishaajiriwa jeshini permanent wanalia ukata

Nchi za ulaya na nchi kama South Korea ni nchi ambazo nature ya matishio yake ni makubwa tofauti na huko kwenu., ilipoisha vita ya pili ya dunia nchi nyingi za ulaya kuna tishio la mipaka yake lakini pia tishio la mirengo wanayounga mkono kwamba inaleta athari kwa mataifa mengine kama ilivyo vita ya urusi na Ukrean sasahivi.

Kwa hiyo suluhisho lao ni kuji-engage kwenye vita muda wote tofauti na huko kwenu ambako mnalinda.....
Eee kwenye kuchambu mko makin mkuu, make sure unachezea na content.
 
Tazama nchi hizi ni lazima mwananchi apate mafunzo ya kijeshi.

Denimaki ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฐ Austria ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡น
Russia ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡บ Israel ๐Ÿ‡ฎ๐Ÿ‡ฑ Finland ๐Ÿ‡ซ๐Ÿ‡ฎ Norwei ๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ด Korea zote mbili Angola ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Mozambique ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Algeria ๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ Morocco ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Ukiangalia nyingi ni nchi za dunia ya kwanza tena zina uchumi mzuri na usalama wake kutosha tu. UK ๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ง na Poland ๐Ÿ‡ต๐Ÿ‡ฑ nao wanataka iwe lazima.

Nimegundua AMANI na USALAMA ni vitu namba moja kwa wenzetu maana kikinuka tu hakuna chochote kinaweza kufanyika. na hatua ya kwanza ni kuhakikisha wananchi wako wote wake kwa waume wanakuwa na idea na mambo ya usalama waweze kujilinda wenyewe na kulinda nchi.

Kikinuka tu basi;
Makazini hakuendeki
Mabenki hayafanyi kazi
Zero movement huko mabarabarani labda uwe na chuma
Home penyewe hakukaliki

Hapa kwetu shida nini? Kwanini kwetu sio lazima? shida ni nini hasa?
bajeti?
Usalama mwingi au?
Labda serikali ifanye shule zote za secondary ziwe za kijeshi.
 
Hapa kwetu shida nini? Kwanini kwetu sio lazima? shida ni nini hasa?
Countless kids, when they finish Form Six, must go to JKT before they start their university studies. Also, we have large numbers of boys and girls in the streets who, at some point in their life, went to JKT for free. Therefore, I think if war breaks out, we will have enough kids who must be brushed a little and they can manage to go to the front line in the battlefield.
 
Back
Top Bottom