Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #21
saivi wewe uking'aa kule unadakwa uende vitani hlf raia wao wambembeleze?Urusi siyo lazima mwananchi kupata mafunzo ya kijeshi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
saivi wewe uking'aa kule unadakwa uende vitani hlf raia wao wambembeleze?Urusi siyo lazima mwananchi kupata mafunzo ya kijeshi
hizi zinajenga mtu kifikra lakn kwenda depo kunakujenga kuingia frontline kiuhalisiaUsalama wa nchi na watu wake hutokana na hayo utaifa/uzalendo/maadili. Rejea post namba 4.
🤣🤣🤣Huna hoja wewe zaidi ya negativity
Kwa teknolojia inavyokuwa kwa kasi, ni bora tukajikita katika kukuza uchumi na teknolojia.hizi zinajenga mtu kifikra lakn kwenda depo kunakujenga kuingia frontline kiuhalisia
self-defense ni muhimu sana mkuu. Wale Ukraine ilikuwa sio lazma kwenda jeshini hadi walipovamiwaWalioenda wamelata impact gani kwa jamii