Nchi hufilisika pale inapokuwa imeweka rehani rasilimali zake zote na siyo inapofeli kulipa Wakandarasi

Nchi hufilisika pale inapokuwa imeweka rehani rasilimali zake zote na siyo inapofeli kulipa Wakandarasi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nchi inapoweka Rehani Rasilimali zake zote Ndio tunaiita Mufilisi kwa sababu inakuwa haikopesheki tena.

Kuchelewa kulipa makandarasi na Wazabuni wengine hilo ni jambo la kawaida sana Ndio sababu umewekwa utaratibu wa kuwalipa Riba ya kuchelewesha malipo.

Ni sawa tu hii Mikopo yetu ya Eniembii na Siaradibii ukishawakabidhi Hati za Nyumba wewe ni Sawa na Mufilisi hadi pale utakapojikomboa.

Ni ufafanuzi tu.

Nawatakia Sabato Njema 😄
 
🤣🤣🤣🤣🤣 kweli watu wana Id mpaka 50 humu yani wewe ni Mwigulu mtupuuuu , wakuu kama hamuamini tafuteni uzi wa wa OKWI BOBAN SUNZU alichouliza alafu jamaa kajibu kwa ID nyingine hapa 🤣🤣🤣🤣 ila we Mwigulu unaboa wewe
 
Sasa kama umekosa pesa ya kulipa mkopo,

Hiyo Riba ya kuwalipa ulipochelewa kulipa itoke wapi?

Halafu ujue Bankruptcy ni kitendo Cha kushindwa kulipa, huna pesa benk kulipa madeni na mikopo. Haihusiani na dhamana.
 
Nchi inapoweka Rehani Rasilimali zake zote Ndio tunaiita Mufilisi kwa sababu inakuwa haikopesheki tena.

Kuchelewa kulipa makandarasi na Wazabuni wengine hilo ni jambo la kawaida sana Ndio sababu umewekwa utaratibu wa kuwalipa Riba ya kuchelewesha malipo.

Ni sawa tu hii Mikopo yetu ya Eniembii na Siaradibii ukishawakabidhi Hati za Nyumba wewe ni Sawa na Mufilisi hadi pale utakapojikomboa.

Ni Ufafanuzi tu.

Nawatakia Sabato Njema 😄
Tumeshakabidhi Rasilimali zote!! Zenji wajanja wanatuzum tu
 
Sasa kama umekosa pesa ya kulipa mkopo,

Hiyo Riba ya kuwalipa ulipochelewa kulipa itoke wapi?

Halafu ujue Bankruptcy ni kitendo Cha kushindwa kulipa, huna pesa benk kulipa madeni na mikopo. Haihusiani na dhamana.
Kwa mujibu wa Prof Aurora hiyo nayo ni biashara nyingine ya Wakandarasi kujiongezea kipato kwa Njia ya Riba 😄
 
Nchi inapoweka Rehani Rasilimali zake zote Ndio tunaiita Mufilisi kwa sababu inakuwa haikopesheki tena.

Kuchelewa kulipa makandarasi na Wazabuni wengine hilo ni jambo la kawaida sana Ndio sababu umewekwa utaratibu wa kuwalipa Riba ya kuchelewesha malipo.

Ni sawa tu hii Mikopo yetu ya Eniembii na Siaradibii ukishawakabidhi Hati za Nyumba wewe ni Sawa na Mufilisi hadi pale utakapojikomboa.

Ni ufafanuzi tu.

Nawatakia Sabato Njema 😄
So far kama nchi tunamiliki nini Bwashe?
 
Kwahiyo Nama Abdul anaifilisi nchi maana kila kitu kauza, John chunga mdomo wako.
 
Pia muelewe kitu kimoja, wakandarasi wanaonufaika na hizo riba ni International Contractors ambao wanalindwa na Sheria za Kimataifa za Mikataba.
Mkandarasi mzawa akidai 300M ikachelewa kwa miezi 3 au 6, hana faida na wengi huishia kufanya substandard works au hata kufilisika.

Serikali ilitizame hili.
 
Back
Top Bottom