Nchi imefunguliwa, matapeli wa mtandaoni wanawalenga maprofesa

Nchi imefunguliwa, matapeli wa mtandaoni wanawalenga maprofesa

Bulesi

Platinum Member
Joined
May 14, 2008
Posts
14,275
Reaction score
13,929
Kuna tapeli mmoja wa mtandaoni anayejiita Prof. Veriani Samweli Maswayaga sidhani kama ni jina lake halisi. Huyu bwana anashirikiana na mwana mama wa kizungu kuwarubuni Maprofesa wastaafu kuwa wana world Bank project ya mazingira hivyo wanahitaji washauri wa kufanya nao kazi kwenye miradi yao huko Zanzibar na Tanganyika;
baada ya kukushawishi kujiunga nao huyo mama wa kizungu anawashawishi hao consultants kuwa wawe suppliers wa madawa ya kukuzia miche ya Avacados na madawa ya kuprotect Asali.

Huyo Prof. Veriani Samwel Maswayaga Tapeli anajifanya ni mtaalam sana wa mazingira hivyo anawaconvince hao consultants washirikiane nae kusupply hayo madawa na baadae wagawane faida. Anawaelekeza kuwa hayo madawa aina ya BOOSTERS na HONEY PROTECTOR yanapatikana kwa wamissionary kule Mlandizi Missionary Farm na anawapa majina ya mapadre wawili fake Fr. Charles Denis Charles na Fr. Festo John Nyagawa ambao ni sehemu ya syndicate yao hivyo unapowasiliana nao unakaribishwa na "TUMSIFU Yesu Kristo" kukuweka sawa kuwa ni Watu genuine.

Huyo Prof. atakwambia fanya order kwa hao mapadre kwa hizo dawa na mchangie gharama za manunuzi na yeye ili faida mgawane nusu kwa nusu! Ukishalipa sehemu yako ya gharama yeye huyo tapeli kwavile wako pamoja na hao purpoted fathers halipi kitu. Watakwambia malipo yamekamilika.Consignment ikiwa tayari watakuzungusha wewe supplier wapi kwa kupeleka watakwambia mkutane RAMADA INN hapo ndipo malipo yatakapofanyika. Hapo hawatakuwepo na mzigo wa dawa not delivered na ukienda kudai seheme ya mzigo uliolipia kwa wale mafather wa MLANDIZI MISSION FARM Simu zao hazipatikani!!!!

Ndivyo wanavyowaliza watu wengi hivyo maprofesa muwe macho, huyu profesa fake when pitching his trade nasikia anamtaja somebody MSIGWA WA FAFOLI kama collaborator wake; msikubali kufanya kazi bila kuwafahamu na kuonana na watu uso kwa uso. Matapeli wa mtandaoni wanaogopa sana kuonana uso kwa uso. These fraudsters wanatarget watu maalum na wanafanya utafiti wa kina wa victims wao. You have been warned . Kijiwe chao Kiko RAMADA INN please take care. Huyo fake prof. ana very sophisticated network.
 
Kuna tapeli mmoja wa mtandaoni anayejiita Prof. Maswayaga sidhani kama ni jina lake halisi. Huyu bwana anashirikiana na mwana mama wa kizungu kuwarubuni Maprofesa wastaafu kuwa wana world Bank project ya mazingira hivyo wanahitaji washauri wa kufanya nao kazi kwenye miradi yao huko Zanzibar na Tanganyika;
baada ya kukushawishi kujiunga nao huyo mama wa kizungu anawashawishi hao consultants kuwa wawe suppliers wa madawa ya kukuzia miche ya Avacados na madawa ya kuprotect Asali.
Huyo Prof. Tapeli anajifanya ni mtaalam sana wa mazingira hivyo anawaconvince hao consultants washirikiane nae kusupply hayo madawa na baadae wagawane faida. Anawaelekeza kuwa hayo madawa aina ya BOOSTERS na HONEY PROTECTOR yanapatikana kwa wamissionary kule Mlandizi na anawapa majina ya mapadre wawili fake ambao ni sehemu ya syndicate yao hivyo unapowasiliana nao unakaribishwa na "TUMSIFU Yesu Kristo" kukuweka sawa kuwa ni Watu genuine. Huyo Prof. atakwambia fanya order kwa hao mapadre kwa hizo dawa na mchangie gharama za manunuzi na yeye ili faida mgawane nusu kwa nusu! Ukishalipa sehemu yako ya gharama yeye huyo tapeli kwavile wako pamoja na hao purpoted fathers halipi kitu. Watakwambia malipo yamekamilika.Consignment ikiwa tayari watakuzungusha wewe supplier wapi kwa kupeleka watakwambia mkutane RAMADA INN hapo ndipo malipo yatakapofanyika. Hapo hawatakuwepo na mzigo wa dawa not delivered na ukienda kudai seheme ya mzigo uliolipia kwa wale mafather wa mlandizi Simu zao hazipatikani!!!!
Ndivyo wanavyowaliza watu wengi hivyo maprofesa muwe macho , msikubali kufanya kazi bila kuwafahamu na kuonana na watu uso kwa uso. Matapeli wa mtandaoni wanaogopa sana kuonana uso kwa uso. These fraudsters wanatarget Watu maalum na wanafanya utafiti wa kina wa victims wao. you have been warned . Kijiwe chao Kiko RAMADA INN please take care. Huyo fake prof. ana very sophisticated network.
Matapeli walikuwepo hata kipindi cha Sodoma na Gomora. Usisingizie serikali
Wakenya na watz wamepigwa sana kwenye Forex. Unaijua QNET?
 
Kuna tapeli mmoja wa mtandaoni anayejiita Prof. Maswayaga sidhani kama ni jina lake halisi. Huyu bwana anashirikiana na mwana mama wa kizungu kuwarubuni Maprofesa wastaafu kuwa wana world Bank project ya mazingira hivyo wanahitaji washauri wa kufanya nao kazi kwenye miradi yao huko Zanzibar na Tanganyika;
baada ya kukushawishi kujiunga nao huyo mama wa kizungu anawashawishi hao consultants kuwa wawe suppliers wa madawa ya kukuzia miche ya Avacados na madawa ya kuprotect Asali.

Huyo Prof. Tapeli anajifanya ni mtaalam sana wa mazingira hivyo anawaconvince hao consultants washirikiane nae kusupply hayo madawa na baadae wagawane faida. Anawaelekeza kuwa hayo madawa aina ya BOOSTERS na HONEY PROTECTOR yanapatikana kwa wamissionary kule Mlandizi na anawapa majina ya mapadre wawili fake ambao ni sehemu ya syndicate yao hivyo unapowasiliana nao unakaribishwa na "TUMSIFU Yesu Kristo" kukuweka sawa kuwa ni Watu genuine.

Huyo Prof. atakwambia fanya order kwa hao mapadre kwa hizo dawa na mchangie gharama za manunuzi na yeye ili faida mgawane nusu kwa nusu! Ukishalipa sehemu yako ya gharama yeye huyo tapeli kwavile wako pamoja na hao purpoted fathers halipi kitu. Watakwambia malipo yamekamilika.Consignment ikiwa tayari watakuzungusha wewe supplier wapi kwa kupeleka watakwambia mkutane RAMADA INN hapo ndipo malipo yatakapofanyika. Hapo hawatakuwepo na mzigo wa dawa not delivered na ukienda kudai seheme ya mzigo uliolipia kwa wale mafather wa MLANDIZI MISSION FARM Simu zao hazipatikani!!!!

Ndivyo wanavyowaliza watu wengi hivyo maprofesa muwe macho, huyu profesa fake when pitching his trade nasikia anamtaja somebody MSIGWA WA FAFOLI kama collaborator wake; msikubali kufanya kazi bila kuwafahamu na kuonana na watu uso kwa uso. Matapeli wa mtandaoni wanaogopa sana kuonana uso kwa uso. These fraudsters wanatarget watu maalum na wanafanya utafiti wa kina wa victims wao. You have been warned . Kijiwe chao Kiko RAMADA INN please take care. Huyo fake prof. ana very sophisticated network.
Wengi wasomi huwa utapeliwa vibya Sana maprofesa ninyi ndio mmejah kailinda ,qnex .Mr kuku farm na utapeli mwingi mno huwa akili mnaweka pembeni when it's came to money
 
You must be part of this fraudulent network ya huyu fake professa Nadhani mnatoka sehemu moja!
Kwann mtu akikukosoa unamuhusisha , ushaur wa jamaa ni mzur sn , huko kutapeliwa kunatokana na tamaa zako unafanyaj biashara ya ushirika bila terms zilizokweny wino ? Huon kama ni uzuzu ? Unaeza fanya ubia na mtu hujawai kumuona ? Unaezaj fanya biashara bila reaserch ya soko lilipo na uthibitisho kuwa hilo soko halina dalili ya kuhama incase ukiwa na challenges kweny biashara zao
 
Kuna tapeli mmoja wa mtandaoni anayejiita Prof. Maswayaga sidhani kama ni jina lake halisi. Huyu bwana anashirikiana na mwana mama wa kizungu kuwarubuni Maprofesa wastaafu kuwa wana world Bank project ya mazingira hivyo wanahitaji washauri wa kufanya nao kazi kwenye miradi yao huko Zanzibar na Tanganyika;
baada ya kukushawishi kujiunga nao huyo mama wa kizungu anawashawishi hao consultants kuwa wawe suppliers wa madawa ya kukuzia miche ya Avacados na madawa ya kuprotect Asali.

Huyo Prof. Tapeli anajifanya ni mtaalam sana wa mazingira hivyo anawaconvince hao consultants washirikiane nae kusupply hayo madawa na baadae wagawane faida. Anawaelekeza kuwa hayo madawa aina ya BOOSTERS na HONEY PROTECTOR yanapatikana kwa wamissionary kule Mlandizi na anawapa majina ya mapadre wawili fake ambao ni sehemu ya syndicate yao hivyo unapowasiliana nao unakaribishwa na "TUMSIFU Yesu Kristo" kukuweka sawa kuwa ni Watu genuine.

Huyo Prof. atakwambia fanya order kwa hao mapadre kwa hizo dawa na mchangie gharama za manunuzi na yeye ili faida mgawane nusu kwa nusu! Ukishalipa sehemu yako ya gharama yeye huyo tapeli kwavile wako pamoja na hao purpoted fathers halipi kitu. Watakwambia malipo yamekamilika.Consignment ikiwa tayari watakuzungusha wewe supplier wapi kwa kupeleka watakwambia mkutane RAMADA INN hapo ndipo malipo yatakapofanyika. Hapo hawatakuwepo na mzigo wa dawa not delivered na ukienda kudai seheme ya mzigo uliolipia kwa wale mafather wa MLANDIZI MISSION FARM Simu zao hazipatikani!!!!

Ndivyo wanavyowaliza watu wengi hivyo maprofesa muwe macho, huyu profesa fake when pitching his trade nasikia anamtaja somebody MSIGWA WA FAFOLI kama collaborator wake; msikubali kufanya kazi bila kuwafahamu na kuonana na watu uso kwa uso. Matapeli wa mtandaoni wanaogopa sana kuonana uso kwa uso. These fraudsters wanatarget watu maalum na wanafanya utafiti wa kina wa victims wao. You have been warned . Kijiwe chao Kiko RAMADA INN please take care. Huyo fake prof. ana very sophisticated network.
Utapeli wa kizamani huo hata si mpya, na huenda huyo mama wala hata si mzungu maana ukipga simu unakutana na lafudhi ya kizungu kumbe anayeongea mbongo. Huu utapeli wa miaka ya 2000 si wa leo
 
Matapeli walikuwepo hata kipindi cha Sodoma na Gomora. Usisingizie serikali
Wakenya na watz wamepigwa sana kwenye Forex. Unaijua QNET?
Forex trading kuna watu wenye uelewa wamepiga hela ndefu sana . Kule sio utapeli wa huyu profesa Maswayaga mwizi bali finacial literacy!
Kwann mtu akikukosoa unamuhusisha , ushaur wa jamaa ni mzur sn , huko kutapeliwa kunatokana na tamaa zako unafanyaj biashara ya ushirika bila terms zilizokweny wino ? Huon kama ni uzuzu ? Unaeza fanya ubia na mtu hujawai kumuona ? Unaezaj fanya biashara bila reaserch ya soko lilipo na uthibitisho kuwa hilo soko halina dalili ya kuhama incase ukiwa na challenges kweny biashara zao
Maelezo mazuri watu wakiyazingatia watawashtukia hawa matapeli mapema na kukwepa uhalifu wao unaowaumiza watu wengi.
Cybercrime division ya police ingeweza kuwakamata hawa kwani wanatumia simu. Kwa kutumia technology hata wakibadili namba wangeweza kukamatwa.
Lakini polisi siku hizi sio vigilant kama enzi za Magufuli ambapo wahalifu wengi walikimbia nchi.
Siku hizi ukipiga simu polisi hamna anayepokea sio kama enzi za Magu!!
 
Kama hadi maprofesaa wataibiwa kwa njii ya kifal a basi elmu zao ni takataka......after all kutapeliwa kupo direct proportional na tamaa
Being intelligence doesn't matter what your attitude guide your intelligence is all matter.

Tuna shida kwenye elimu yetu inatakiwa tushtuke mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona huu utapeli ni wa muda sana,mwaka 2012 mi walitaka kuniingiza chaka,nilikuwa babati inshu yao ilihusu madawa kiwanda cha minjingu sijui kama kipo bado,ilikuwa ukiongea na huyu anajifanya wasiliana na flan anakupa namba ukicheki nae huyo unapewa mwingine,hadi unafikia kwa mzungu ambae yeye sasa hajui kabisa kiswahili! Jinsi walivyojipanga unaweza kufikir ni kweli kumbe hamna kitu,mi nilifuata taratibu zote mpaka ilipofikia hatua ya kulipia mzigo ili mlinzi aruhusu kutoka pale minjingu ndio nikawaambia hela sina(binafsi tutaongea vyote ila kwenye hela sitoagi kizembe kwanza sina hizo hela zenyewe[emoji3]) toka hapo simu zote hazikupatikana,niliwahi kupost hii kitu wengi walitoa ushuhuda kuwa hata wao kidogo waungie mkenge
 
Back
Top Bottom