Nchi imefunguliwa, matapeli wa mtandaoni wanawalenga maprofesa

YEp ulitembea nao hadi mwisho wa reli na bado wakaambulia patupu, na huyu profesa alipaswa kufanya hivi just toy with them and waste their time by playing along
 
Duhh pole,Minjingu wanazalisha mbolea tu sio madawa na wao ni wahindi wala sio wazungu, bora ulistuka haukuingia mkenge.
 
Kama watu bado wanapigwa basi hawana uelewa na mambo mengi

Jamaa yangu aliyepigwa ameapa kuwa itakuwa Dhabi kuwaacha salama hao waliomtapeli ; atakula nao sahani moja!! Mkiona jamaa zenu wanaanza kuokota makopo mjue yamewafika!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…