Sidhan kama ni kwel
Mbona ccm haistaafu miaka nenda miaka rudiMboe anastaafu lini?
MKuu una kila qualification ya kuitwa Mbowe Jr.
Atastaafia ikulu ,hana mambo mengi, awamu moya tu ,kaa Mzee Madiba🫣Mboe anastaafu lini?
Nadhani ingekuwa vema nikaitwa Chadema Jr, viongozi watapita lakini Chadema itabakiMKuu una kila qualification ya kuitwa Mbowe Jr.
Joined Sunday! Hata wiki bado ushaanza matusiKumradhi, hiv kuna watu wengine huwa mnaumwa bawasiri sugu ee?!!!!!
Hutaki unaachaAlways Nchi Huwa imesimama ,Bali jua na mwezi ndio huzunguka.
Acha Propaganda za kichawiNimepita mitaani leo watu wako "attention" kusikiliza nini kitatokea kwenye kamati kuu ya CHADEMA, na wengine wanasema mbona kamati inachelewesha kutoa maaximio yake.
Kwa kweli Chadema hongereni kwa hatua hii muhimu mliyofikia kisiasa mkienda vizuri mna kesho nzuri shikilieni hapohapo huku mkiwaachia CCM makapi yanayounga juhudi, hili lichama basi tena limeshindikana kila mahala Chadema, Chadema Bungeni, mikoani nk. Well done
Kawashika pabaya mnatamani awaachie c ndiyo? Hatoki mtu mpaka mseme!Mboe anastaafu lini?
upotoshaji hauna tija yoyote wala hauna maana kabisa 🐒Nimepita mitaani leo watu wako "attention" kusikiliza nini kitatokea kwenye kamati kuu ya CHADEMA, na wengine wanasema mbona kamati inachelewesha kutoa maaximio yake.
Kwa kweli Chadema hongereni kwa hatua hii muhimu mliyofikia kisiasa mkienda vizuri mna kesho nzuri shikilieni hapohapo huku mkiwaachia CCM makapi yanayounga juhudi, hili lichama basi tena limeshindikana kila mahala Chadema, Chadema Bungeni, mikoani nk. Well done
mmewafundisha wenyewe mihemko, ghadhabu na matusi wamefaulu mnawakataa tena 🐒Joined Sunday! Hata wiki bado ushaanza matusi
Mbona hujajibu swali?!!!!Joined Sunday! Hata wiki bado ushaanza matusi