Nchi imesimama kisa Kamati Kuu ya CHADEMA. Hongereni

Nchi imesimama kisa Kamati Kuu ya CHADEMA. Hongereni

Nimepita mitaani leo watu wako "attention" kusikiliza nini kitatokea kwenye kamati kuu ya CHADEMA, na wengine wanasema mbona kamati inachelewesha kutoa maaximio yake.

Kwa kweli Chadema hongereni kwa hatua hii muhimu mliyofikia kisiasa mkienda vizuri mna kesho nzuri shikilieni hapohapo huku mkiwaachia CCM makapi yanayounga juhudi, hili lichama basi tena limeshindikana kila mahala Chadema, Chadema Bungeni, mikoani nk. Well done
Ni kama Yanga, kila mahali Simba kalala kulia MARA kushoto, kaamka nk. Huskii wakimsema Azam, wala Ihefu nk. UJUE KUNA KITU SIO PAKACHA
 
Nimepita mitaani leo watu wako "attention" kusikiliza nini kitatokea kwenye kamati kuu ya CHADEMA, na wengine wanasema mbona kamati inachelewesha kutoa maaximio yake.

Kwa kweli Chadema hongereni kwa hatua hii muhimu mliyofikia kisiasa mkienda vizuri mna kesho nzuri shikilieni hapohapo huku mkiwaachia CCM makapi yanayounga juhudi, hili lichama basi tena limeshindikana kila mahala Chadema, Chadema Bungeni, mikoani nk. Well done
CHADEMA for life
 
Nimepita mitaani leo watu wako "attention" kusikiliza nini kitatokea kwenye kamati kuu ya CHADEMA, na wengine wanasema mbona kamati inachelewesha kutoa maaximio yake.

Kwa kweli Chadema hongereni kwa hatua hii muhimu mliyofikia kisiasa mkienda vizuri mna kesho nzuri shikilieni hapohapo huku mkiwaachia CCM makapi yanayounga juhudi, hili lichama basi tena limeshindikana kila mahala Chadema, Chadema Bungeni, mikoani nk. Well done
Kamati ya kuvunja HARUSI😂
 
WANAPARURANA HUKO MBOWE NA LISSU HAPATOSHI MBWE KALA RUSHWA NA KIN AMSIGWA
 
Hivi Mbowe angekuwa dhaifu mngekuwa mnashirikiana kutaka astaafu nyie CCM?
Chama sio chenu, kiongozi sio wenu, hali chakula chenu na wenye naye hawajamchoka sasa mnawashwa na nini?
Ni wazi mnamuogopa kama muiogopavyo njaa!

Imagine Lipumba na Cheyo wako pale kabla ya Mbowe ..... MaCCM hawawaoni au ni kwa kuwa vyama vyao ni taasisi za CCM ....!!?
 
Back
Top Bottom