Kudoba wepo baaah
Senior Member
- May 12, 2024
- 155
- 461
Hivi kutaja ugonjwa ni tusi siku hizi?!!!!!!!mmewafundisha wenyewe mihemko, ghadhabu na matusi wamefaulu mnawakataa tena 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kutaja ugonjwa ni tusi siku hizi?!!!!!!!mmewafundisha wenyewe mihemko, ghadhabu na matusi wamefaulu mnawakataa tena 🐒
unaniuliza mie tenaHivi kutaja ugonjwa ni tusi siku hizi?!!!!!!!

Ni kama Yanga, kila mahali Simba kalala kulia MARA kushoto, kaamka nk. Huskii wakimsema Azam, wala Ihefu nk. UJUE KUNA KITU SIO PAKACHANimepita mitaani leo watu wako "attention" kusikiliza nini kitatokea kwenye kamati kuu ya CHADEMA, na wengine wanasema mbona kamati inachelewesha kutoa maaximio yake.
Kwa kweli Chadema hongereni kwa hatua hii muhimu mliyofikia kisiasa mkienda vizuri mna kesho nzuri shikilieni hapohapo huku mkiwaachia CCM makapi yanayounga juhudi, hili lichama basi tena limeshindikana kila mahala Chadema, Chadema Bungeni, mikoani nk. Well done
CHADEMA for lifeNimepita mitaani leo watu wako "attention" kusikiliza nini kitatokea kwenye kamati kuu ya CHADEMA, na wengine wanasema mbona kamati inachelewesha kutoa maaximio yake.
Kwa kweli Chadema hongereni kwa hatua hii muhimu mliyofikia kisiasa mkienda vizuri mna kesho nzuri shikilieni hapohapo huku mkiwaachia CCM makapi yanayounga juhudi, hili lichama basi tena limeshindikana kila mahala Chadema, Chadema Bungeni, mikoani nk. Well done
Kamati ya kuvunja HARUSI😂Nimepita mitaani leo watu wako "attention" kusikiliza nini kitatokea kwenye kamati kuu ya CHADEMA, na wengine wanasema mbona kamati inachelewesha kutoa maaximio yake.
Kwa kweli Chadema hongereni kwa hatua hii muhimu mliyofikia kisiasa mkienda vizuri mna kesho nzuri shikilieni hapohapo huku mkiwaachia CCM makapi yanayounga juhudi, hili lichama basi tena limeshindikana kila mahala Chadema, Chadema Bungeni, mikoani nk. Well done
Ni kwel, tatizo tu ni kwamba wewe nawe utapita tu kama mbowe na cdm itabakiNadhani ingekuwa vema nikaitwa Chadema Jr, viongozi watapita lakini Chadema itabaki
Ukijifungua mimba yakeMboe anastaafu lini?
Hivi Mbowe angekuwa dhaifu mngekuwa mnashirikiana kutaka astaafu nyie CCM?
Chama sio chenu, kiongozi sio wenu, hali chakula chenu na wenye naye hawajamchoka sasa mnawashwa na nini?
Ni wazi mnamuogopa kama muiogopavyo njaa!
!Sidhan kama ni kwel
Hiyo kitu haipo mheshimiwa! Ni theory tu tuliyoletewa na waabudu jua. Dunia ni flat Wala sio duara na pia mwezi na jua vinaizunguka dunia.Kwamba Tanzania hatuzunguki jua tena.. Hii habari mbona sijaiona NASA
vipi kuhusu kinana?Mboe anastaafu lini?
Mboe anastaafu lini?
wanapiga chabo yaaniiLumumba wanachungulia madirishani....