DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
To be honest Huu uongozi ni Sahihi kwa ustawi wa Taifa .
Nipo DSM naona miradi ya kuchagiza uchumi ikianzishwa , simaanishi madaraja no hapa nazungumzia Mambo muhimu tu.
Vijana wanapambana life goes on
Vitu vimepanda Bei Sana lakini hela ukijituma unapata and you can afford to pay bili zako
Utofauti wa Mama na wengine yeye Mama anaongea ukweli mtupu naked fact.
Nipo DSM naona miradi ya kuchagiza uchumi ikianzishwa , simaanishi madaraja no hapa nazungumzia Mambo muhimu tu.
Vijana wanapambana life goes on
Vitu vimepanda Bei Sana lakini hela ukijituma unapata and you can afford to pay bili zako
Utofauti wa Mama na wengine yeye Mama anaongea ukweli mtupu naked fact.