GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Mwanazuoni mashuhuri, Pro. Issa Shivji kasema nchi inapaswa kuendeshwa na "civil service" na siyo wanasiasa!Nchi inaendeshwa na wanasiasa
Nchi inaendeshwa na wanataaluma kutoka sekta mbali mbali ikiwemo siasa ambayo pia ni taaluma inayosomewa na kupata shahada ya sayansi ya siasa.Nchi inaendeshwa na wanasiasa
Actualy power inatakiwa ibaki kwa wataalam si wanasiasa. Wanasiasa ndio hawa wana ingilia watu wenye utaalamu wao halafu wakisha vurunda wanatafuta scapegoatNchi inaendeshwa na wanataaluma kutoka sekta mbali mbali ikiwemo siasa ambayo pia ni taaluma inayosomewa na kupata shahada ya sayansi ya siasa.
Ni Tanzania pekee ambayo kila anayeongea maneno mengi kwa dakika tena kwa sauti kubwa ndio anayefaa kufanya siasa.... Tuna safari ndefu sana kufikia utawala bora.
Viongozi wote wa kuteuliwa ni makada wa CCMMara kadhaa viongozi waandamizi wa CCM wamesikika wakiwashauri Watanzania wasiwachague wapinzani katika nafasi ya Urais kwa madai kuwa vyama vya upinzani bado havijakomaa vya kutosha kuongoza nchi!
1. Hayo madai yana ukweli kwa kiasi gani?
2. Nchi inaendeshwa na wanasiasa au na utumishi wa umma (makatibu wakuu wa Wizara, n.k.)?
Ndiyo maana haiendi mbeleNchi inaendeshwa na wanasiasa
Wasomi wenyewe hawajitambuiActualy power inatakiwa ibaki kwa wataalam si wanasiasa. Wanasiasa ndio hawa wana ingilia watu wenye utaalamu wao halafu wakisha vurunda wanatafuta scapegoat
Hili ndilo jibu upo sahihi kabisaNchi inaendeshwa na wanasiasa