Nchi inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea

Nchi inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea

bernard10

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2021
Posts
410
Reaction score
732
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI ndugu rafiki kaka dada na jamaa zangu

Ni Ukweli usiopingika nchi yetu inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii wengi mtajiuliza Kwanini wengine mtakubaliana na Mimi na wengine mtapinga either kwa hoja matusi kejeri au kupuuza.

KWANINI NASEMA HIVYO:

Katika historia ya nchi yetu tangu mwaka wa 1992 nchi yetu iliingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi (yaani multiparty system) tangu mwaka huo nchi yetu iliandika historia mpya yakuwa na pande mbili kisiasa yaani upande wa chama tawala na upande wa pili chama au vyama pinzani.

Kwamiaka yote hiyo pande hizi mbili nchi yetu hunufaika nazo hasa upande wa upinzani ambao hutoa upinzani mkubwa katika Mambo yahovyo kiuchumi kijamii n.k katika lengo zuri la kujenga taifa letu pendwa.

Sasa tangu miaka hiyo ya 1992 nchi yetu either huwa inakuwa au inapitia katika kipindi ambacho either upande wa chama tawala (serikali) inakuwa imara au la chama pinzani (upinzani) unakuwa imara yaani katika kuleta matokeo chanya katika maendeleo yetu hata Kama siyo asilimia100.

Lakini awamu hii nikiri wazi pande zote mbili zimekuwa dhaifu kabisa yaani upande wa upinzani (Chadema & wengine) na upande wa chama tawala.

Upinzani tulio nao sasa hauna ramani Wala hawajui wasimamie wapi kuanzia uongozi wao mbaka wanachama wote wamekuwa Kama bendera fuata upepo.

Kwakumalizia wandugu tuliombee sana Taifa letu hakika Mungu atatuinua nakutusimamia.kwa ndugu zangu waislamu wanasema inshallah tutasimama imara muda ukifika

Asante.
 
Kwa mfano mwanachama anapesa za majini au ya magumashi alafu akakuongo na hiyo pesa nawe ukapoke na kumpitisha ameshinda ujue mlishamalizana hapo atakachokifanya ni kuitumikia ile pesa yake au jini lake lililo mwezesha kuwa hapo. Kuelewa hili ni Mungu tu apende.
 
Haya mambo ya gender sio kila mahali ni applicable.

Wamalawi walimfurusha joyce banda alipoanza kuivamia Tza na kutaka kuleta ushoga malawi.

Wakamwambia kwenda tza ni ndugu zetu hatuwezi gombana nao kisa wewe sababu ya ziwa.
 
Dereva ndani ya miaka 60 hajui anakwenda wapi na Nini dhima ya safari abiria nao washa lala usingizi wa pono kondakta ni full kelele
 
Upinzani tulio nao Sasa hauna ramani Wala hawajui wasimamie wapi kuanzia uongozi wao mbaka wanachama wote wamekuwa Kama bendera fuata upepo.
na mbaya zaidi utawala tulio nao haujali kufuata KATIBA ya nchi katika kuongoza, Utawala wa sheria haupo, Haki za binadamu ndiyo kabisa hakuna anayejali -

Jeshi la Police sasa limegekuwa kuwa kama chombo cha kutisha tisha wananchi - mambo mengi yanawasonga wananchi lakini hawapa pa kusemea mfano hili la TOZO. Ukisema unataka katiba mpya wewe unageuka adui mkuu, mhaini ama gaidi.

Ni kweli nchi ipo kwenye njia panda ndugu mtoa hoja.
 
Acha kuzungilu
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI ndugu rafiki kaka dada na jamaa zangu.

Ni Ukweli usiopingika nchi yetu inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii wengi mtajiuliza Kwanini wengine mtakubaliana na Mimi na wengine mtapinga either kwa hoja matusi kejeri au kupuuza.

KWANINI NASEMA HIVYO:

Katika historia ya nchi yetu tangu mwaka wa 1992 nchi yetu iliingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi (yaani multiparty system) tangu mwaka huo nchi yetu iliandika historia mpya yakuwa na pande mbili kisiasa yaani upande wa chama tawala na upande wa pili chama au vyama pinzani.

Kwamiaka yote hiyo pande hizi mbili nchi yetu hunufaika nazo hasa upande wa upinzani ambao hutoa upinzani mkubwa katika Mambo yahovyo kiuchumi kijamii n.k katika lengo zuri la kujenga taifa letu pendwa.

Sasa tangu miaka hiyo ya 1992 nchi yetu either huwa inakuwa au inapitia katika kipindi ambacho either upande wa chama tawala (serikali) inakuwa imara au la chama pinzani(upinzani) unakuwa imara yaani katika kuleta matokeo chanya katika maendeleo yetu hata Kama siyo asilimia100.

Lakini awamu hii nikiri wazi pande zote mbili zimekuwa dhaifu kabisa yaani upande wa upinzani (Chadema & wengine) na upande wa chama tawala.

Upinzani tulio nao Sasa hauna ramani Wala hawajui wasimamie wapi kuanzia uongozi wao mbaka wanachama wote wamekuwa Kama bendera fuata upepo.

Kwakumalizia wandugu tuliombee sana Taifa letu hakika Mungu atatuinua nakutusimamia.kwa ndugu zangu waislamu wanasema inshallah tutasimama imara muda ukifika

Asante.
Acha kuzunguka sema wanakijani wametuharibia taifa letu.
 
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI ndugu rafiki kaka dada na jamaa zangu.

Ni Ukweli usiopingika nchi yetu inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii wengi mtajiuliza Kwanini wengine mtakubaliana na Mimi na wengine mtapinga either kwa hoja matusi kejeri au kupuuza.

KWANINI NASEMA HIVYO:

Katika historia ya nchi yetu tangu mwaka wa 1992 nchi yetu iliingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi (yaani multiparty system) tangu mwaka huo nchi yetu iliandika historia mpya yakuwa na pande mbili kisiasa yaani upande wa chama tawala na upande wa pili chama au vyama pinzani.

Kwamiaka yote hiyo pande hizi mbili nchi yetu hunufaika nazo hasa upande wa upinzani ambao hutoa upinzani mkubwa katika Mambo yahovyo kiuchumi kijamii n.k katika lengo zuri la kujenga taifa letu pendwa.

Sasa tangu miaka hiyo ya 1992 nchi yetu either huwa inakuwa au inapitia katika kipindi ambacho either upande wa chama tawala (serikali) inakuwa imara au la chama pinzani(upinzani) unakuwa imara yaani katika kuleta matokeo chanya katika maendeleo yetu hata Kama siyo asilimia100.

Lakini awamu hii nikiri wazi pande zote mbili zimekuwa dhaifu kabisa yaani upande wa upinzani (Chadema & wengine) na upande wa chama tawala.

Upinzani tulio nao Sasa hauna ramani Wala hawajui wasimamie wapi kuanzia uongozi wao mbaka wanachama wote wamekuwa Kama bendera fuata upepo.

Kwakumalizia wandugu tuliombee sana Taifa letu hakika Mungu atatuinua nakutusimamia.kwa ndugu zangu waislamu wanasema inshallah tutasimama imara muda ukifika

Asante.
Chadema sio chama cha upinzani,ni Sacco's flani tu
 
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI ndugu rafiki kaka dada na jamaa zangu.

Ni Ukweli usiopingika nchi yetu inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii wengi mtajiuliza Kwanini wengine mtakubaliana na Mimi na wengine mtapinga either kwa hoja matusi kejeri au kupuuza.

KWANINI NASEMA HIVYO:

Katika historia ya nchi yetu tangu mwaka wa 1992 nchi yetu iliingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi (yaani multiparty system) tangu mwaka huo nchi yetu iliandika historia mpya yakuwa na pande mbili kisiasa yaani upande wa chama tawala na upande wa pili chama au vyama pinzani.

Kwamiaka yote hiyo pande hizi mbili nchi yetu hunufaika nazo hasa upande wa upinzani ambao hutoa upinzani mkubwa katika Mambo yahovyo kiuchumi kijamii n.k katika lengo zuri la kujenga taifa letu pendwa.

Sasa tangu miaka hiyo ya 1992 nchi yetu either huwa inakuwa au inapitia katika kipindi ambacho either upande wa chama tawala (serikali) inakuwa imara au la chama pinzani(upinzani) unakuwa imara yaani katika kuleta matokeo chanya katika maendeleo yetu hata Kama siyo asilimia100.

Lakini awamu hii nikiri wazi pande zote mbili zimekuwa dhaifu kabisa yaani upande wa upinzani (Chadema & wengine) na upande wa chama tawala.

Upinzani tulio nao Sasa hauna ramani Wala hawajui wasimamie wapi kuanzia uongozi wao mbaka wanachama wote wamekuwa Kama bendera fuata upepo.

Kwakumalizia wandugu tuliombee sana Taifa letu hakika Mungu atatuinua nakutusimamia.kwa ndugu zangu waislamu wanasema inshallah tutasimama imara muda ukifika

Asante.
Ni kipindi kibaya kwa sababu CHADEMA wameacha siasa wameingia kwenye ugaidi. Lazima serikali ipambane na hili kwa kuanzia na Mbowe anayefadhili magaidi hayo. Watanzania wote tuungane na serikali kupambana na kupiga vita ugaidi huu wa viongozi wa Chadema.
 
Sidhani kama kuna kipindi hii nchi ilishawahi kupita pazuri,
 
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI ndugu rafiki kaka dada na jamaa zangu

Ni Ukweli usiopingika nchi yetu inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii wengi mtajiuliza Kwanini wengine mtakubaliana na Mimi na wengine mtapinga either kwa hoja matusi kejeri au kupuuza.

KWANINI NASEMA HIVYO:

Katika historia ya nchi yetu tangu mwaka wa 1992 nchi yetu iliingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi (yaani multiparty system) tangu mwaka huo nchi yetu iliandika historia mpya yakuwa na pande mbili kisiasa yaani upande wa chama tawala na upande wa pili chama au vyama pinzani.

Kwamiaka yote hiyo pande hizi mbili nchi yetu hunufaika nazo hasa upande wa upinzani ambao hutoa upinzani mkubwa katika Mambo yahovyo kiuchumi kijamii n.k katika lengo zuri la kujenga taifa letu pendwa.

Sasa tangu miaka hiyo ya 1992 nchi yetu either huwa inakuwa au inapitia katika kipindi ambacho either upande wa chama tawala (serikali) inakuwa imara au la chama pinzani (upinzani) unakuwa imara yaani katika kuleta matokeo chanya katika maendeleo yetu hata Kama siyo asilimia100.

Lakini awamu hii nikiri wazi pande zote mbili zimekuwa dhaifu kabisa yaani upande wa upinzani (Chadema & wengine) na upande wa chama tawala.

Upinzani tulio nao sasa hauna ramani Wala hawajui wasimamie wapi kuanzia uongozi wao mbaka wanachama wote wamekuwa Kama bendera fuata upepo.

Kwakumalizia wandugu tuliombee sana Taifa letu hakika Mungu atatuinua nakutusimamia.kwa ndugu zangu waislamu wanasema inshallah tutasimama imara muda ukifika

Asante.
Mbowe asingeswekwa Rumande kama ilivyo sasa kwa Matatizo yake ya Kujitakia yaliyomgharimu leo mngekumbuka Kutapika yote haya? Kuna Watu ama hakika mna PhD's za Unafiki na Uwongo.
 
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI ndugu rafiki kaka dada na jamaa zangu

Ni Ukweli usiopingika nchi yetu inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii wengi mtajiuliza Kwanini wengine mtakubaliana na Mimi na wengine mtapinga either kwa hoja matusi kejeri au kupuuza.

KWANINI NASEMA HIVYO:

Katika historia ya nchi yetu tangu mwaka wa 1992 nchi yetu iliingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi (yaani multiparty system) tangu mwaka huo nchi yetu iliandika historia mpya yakuwa na pande mbili kisiasa yaani upande wa chama tawala na upande wa pili chama au vyama pinzani.

Kwamiaka yote hiyo pande hizi mbili nchi yetu hunufaika nazo hasa upande wa upinzani ambao hutoa upinzani mkubwa katika Mambo yahovyo kiuchumi kijamii n.k katika lengo zuri la kujenga taifa letu pendwa.

Sasa tangu miaka hiyo ya 1992 nchi yetu either huwa inakuwa au inapitia katika kipindi ambacho either upande wa chama tawala (serikali) inakuwa imara au la chama pinzani (upinzani) unakuwa imara yaani katika kuleta matokeo chanya katika maendeleo yetu hata Kama siyo asilimia100.

Lakini awamu hii nikiri wazi pande zote mbili zimekuwa dhaifu kabisa yaani upande wa upinzani (Chadema & wengine) na upande wa chama tawala.

Upinzani tulio nao sasa hauna ramani Wala hawajui wasimamie wapi kuanzia uongozi wao mbaka wanachama wote wamekuwa Kama bendera fuata upepo.

Kwakumalizia wandugu tuliombee sana Taifa letu hakika Mungu atatuinua nakutusimamia.kwa ndugu zangu waislamu wanasema inshallah tutasimama imara muda ukifika

Asante.
IMG-20210811-WA0125.jpg
 
NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI ndugu rafiki kaka dada na jamaa zangu

Ni Ukweli usiopingika nchi yetu inapita katika kipindi kibaya kabisa kuwahi kutokea katika historia ya nchi hii wengi mtajiuliza Kwanini wengine mtakubaliana na Mimi na wengine mtapinga either kwa hoja matusi kejeri au kupuuza.

KWANINI NASEMA HIVYO:

Katika historia ya nchi yetu tangu mwaka wa 1992 nchi yetu iliingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi (yaani multiparty system) tangu mwaka huo nchi yetu iliandika historia mpya yakuwa na pande mbili kisiasa yaani upande wa chama tawala na upande wa pili chama au vyama pinzani.

Kwamiaka yote hiyo pande hizi mbili nchi yetu hunufaika nazo hasa upande wa upinzani ambao hutoa upinzani mkubwa katika Mambo yahovyo kiuchumi kijamii n.k katika lengo zuri la kujenga taifa letu pendwa.

Sasa tangu miaka hiyo ya 1992 nchi yetu either huwa inakuwa au inapitia katika kipindi ambacho either upande wa chama tawala (serikali) inakuwa imara au la chama pinzani (upinzani) unakuwa imara yaani katika kuleta matokeo chanya katika maendeleo yetu hata Kama siyo asilimia100.

Lakini awamu hii nikiri wazi pande zote mbili zimekuwa dhaifu kabisa yaani upande wa upinzani (Chadema & wengine) na upande wa chama tawala.

Upinzani tulio nao sasa hauna ramani Wala hawajui wasimamie wapi kuanzia uongozi wao mbaka wanachama wote wamekuwa Kama bendera fuata upepo.

Kwakumalizia wandugu tuliombee sana Taifa letu hakika Mungu atatuinua nakutusimamia.kwa ndugu zangu waislamu wanasema inshallah tutasimama imara muda ukifika

Asante.
boge la kilaza!! tena mnafiki!! unawezaje tuoa ufafanuzi wa upande mmoja!!
 
Back
Top Bottom