Nchi inazidi kuparaganyika, vyombo vya ulinzi na usalama vyachapana risasi kwa sababu za rushwa

Nchi inazidi kuparaganyika, vyombo vya ulinzi na usalama vyachapana risasi kwa sababu za rushwa

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
Ni wazi kwamba Kenya ni kama gari bovu lisilokuwa na dereva, nchi imepoteza muelekeo, kila mtu anafanya atakavyo, hakuna muunganiko katika serikali, Rais na Naibu wake hawapo pamoja, CJ analalamika mahakama kuhujumiwa, hili la polisi wa barabarani kupingana risasi na maafisa wa tume ya kupambana na rushwa ili wasikamatwe, ni hitimisho la serikali kusambaratika.


 
Nikawaida kwa nchi zenye uchumi mkubwa watu kuchapana risasi wewe huoni Nigeria, Yemen, Iraq, Libya na USA
 
Nikawaida kwa nchi zenye uchumi mkubwa watu kuchapana risasi wewe huoni Nigeria,yemen,iraq, Libya na USA
Hahahaha, taja nchi yoyote duniani ambako vyombo vya ulinzi na usalama vinapigana risasi ili kulindana wasikamatwe kwa kula rushwa, " this can only occur in Kenya and other few Failed States like South Sudan, Afghanistan and Somalia.
 
Baada ya Tz kushiriki vita vya ukombozi wa africa sisi tumeamua kuwalipa kwa kushiriki vita vya kutetea uhuru wa kula rushwa hasa kwa watu wa kabila letu
Hahahaha, taja nchi yoyote duniani ambako vyombo vya ulinzi na usalama vinapigana risasi ili kulindana wasikamatwe kwa kula rushwa, " this can only occur in Kenya and other few Failed States like South Sudan, Afghanistan and Somalia.
 
Hahahaha, taja nchi yoyote duniani ambako vyombo vya ulinzi na usalama vinapigana risasi ili kulindana wasikamatwe kwa kula rushwa, " this can only occur in Kenya and other few Failed States like South Sudan, Afghanistan and Somalia.
Kuelekea mufilisi 😁
 
Hahahaha, poleni sana.
Nimeona mama wa marehemu akilia kwa uchungu saana kuwa Huyu ndio alikuwa mwanae wa pekee na ndie alikuwa anamtunza

Alafu young man kauwawa kwa sababu za kijinga tu
 
Nimeona mama wa marehemu akilia kwa uchungu saana kuwa Huyu ndio alikuwa mwanae wa pekee na ndie alikuwa anamtunza

Alafu young man kauwawa kwa sababu za kijinga tu
1)Jacob JUMA
2)Chris Msando
3)Aboud Rogo
4)Makaburi

R . I . P
 
Endeleeni kunywa supu ya Albino utuache sisi tupigane risasi.ukishamaliza nenda kapige Tundu Lissu risasi
 
Endeleeni kunywa supu ya Albino utuache sisi tupigane risasi.ukishamaliza nenda kapige Tundu Lissu risasi
Ninyi mishikaki ya Jaluo na Nyama za waisilamu wa pwani mnaowapiga risasi kwa kisingizio cha ugaidi hazijawatosha?
 
Hahahaha, taja nchi yoyote duniani ambako vyombo vya ulinzi na usalama vinapigana risasi ili kulindana wasikamatwe kwa kula rushwa, " this can only occur in Kenya and other few Failed States like South Sudan, Afghanistan and Somalia.
pamoja na kuruhusu kwao polisi wao kukamatwa still wanaongoza kwa hongo ukanda huu[emoji23][emoji23][emoji23]

ukiwaambia kuna mambo yanakaa damuni mwa watu hata ungetumia mbinu gani isingeleta matokeo chanya.
 
Ninyi mishikaki ya Jaluo na Nyama za waisilamu wa pwani mnaowapiga risasi kwa kisingizio cha ugaidi hazijawatosha?
Tihahahaha...Hamna lenu midanganyika ovyo kabisa.Al shabaab ni nyie midanganyika,wauzaji mihadarati katika Airports zetu Midanganyika.We need to close the borders
 
Ninyi mishikaki ya Jaluo na Nyama za waisilamu wa pwani mnaowapiga risasi kwa kisingizio cha ugaidi hazijawatosha?
Waislamu wa pwani ya wapi hyo..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaumwa wewe, unafikiria wajaluo na waislamu wa pwani wanaishi kw hofu boarding hku wakilindwa na wanajeshi km albino...

Utangoja sana
 
Kabendera naye mmemteketeza jamani nchi ya ukombozi wa Afrika.
Chadema mmewalipua mabomu mmewamaliza,Tundu Lisu mmemtoa kafara.
Loh! Been Saanane je?
Kila siku kuwarindimia risasi raia wanyonge,khaah!
 
Back
Top Bottom