Nchi inazidi kuparaganyika, vyombo vya ulinzi na usalama vyachapana risasi kwa sababu za rushwa

Nchi inazidi kuparaganyika, vyombo vya ulinzi na usalama vyachapana risasi kwa sababu za rushwa

Tihahahaha...Hamna lenu midanganyika ovyo kabisa.Al shabaab ni nyie midanganyika,wauzaji mihadarati katika Airports zetu Midanganyika.We need to close the borders
Jaribuni kufunga mipaka kama hamtokufa njaa, pia mtatusaidia kuzuia majambazi na wezi toka Kenya kuingia Tanzania
 
Si mgelianza na lissu kwanza hko kumpeleka mahakamani
Ninyi ambao mumewamaliza viongozi wote wa kiislam kule pwani kwa kuwapiga risasi kwa kisingizio cha ugaidi, hamzithamini wala kuziamini MAHAKAMA zenu?
 
Waislamu wa pwani ya wapi hyo..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaumwa wewe, unafikiria wajaluo na waislamu wa pwani wanaishi kw hofu boarding hku wakilindwa na wanajeshi km albino...

Utangoja sana
Hahahaha, watalidwaje na POLISI wakati wanaohusika na mauaji ni POLISI wenyewe?, Kenya ni nchi ya mauaji kuliko zote hapa Afrika, ndio sababu inaongoza Afrika mwenye " Extra judicial killings"
Ona unyama wenu ilivyo
 
Hahahaha, watalidwaje na POLISI wakati wanaohusika na mauaji ni POLISI wenyewe?, Kenya ni nchi ya mauaji kuliko zote hapa Afrika, ndio sababu inaongoza Afrika mwenye " Extra judicial killings"
Ona unyama wenu ilivyo
Bwahahaaa!!waliiluwa kw kauli zao za kuhamasisha vijana wajiunge alshabab..

Wewe km imekuuma nenda mahakamani ukafungue kesi dhidi ya wale mashekhe wa zanzibar wanozea jela...maskini, inauma sana walai nikiona muislamu mwenzangu ananyanyswa kizembe km hao mashekhe wa zanzibar
Tena umeelewa maana ya hilo neno radicals
 
Ninyi ambao mumewamaliza viongozi wote wa kiislam kule pwani kwa kuwapiga risasi kwa kisingizio cha ugaidi, hamzithamini wala kuziamini MAHAKAMA zenu?
Tumewasingizia kw ugaidi, lisu alipigwa risasi kw ajili gani?[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Bwahahaaa!!waliiluwa kw kauli zao za kuhamasisha vijana wajiunge alshabab..

Wewe km imekuuma nenda mahakamani ukafungue kesi dhidi ya wale mashekhe wa zanzibar wanozea jela...maskini, inauma sana walai nikiona muislamu mwenzangu ananyanyswa kizembe km hao mashekhe wa zanzibar
Tena umeelewa maana ya hilo neno radicals
Hiyo ndiyo maana halisi ya nchi inayofuata utawala wa sheria, wamepelekwa mahakamani na kesi yao haina dhamana, wangekuwa Kenya tungekuwa tulishawasahau, kwasababu nchi yenu ni " Banana Republic", Kenya maisha hayana thamani, POLISI wanauwa watu vile wapendavyo na hawashitakiwi wala kuulizwa" Failed state".
 
Hiyo ndiyo maana halisi ya nchi inayofuata utawala wa sheria, wamepelekwa mahakamani na kesi yao haina dhamana, wangekuwa Kenya tungekuwa tulishawasahau, kwasababu nchi yenu ni " Banana Republic", Kenya maisha hayana thamani, POLISI wanauwa watu vile wapendavyo na hawashitakiwi wala kuulizwa" Failed state".
Bwahahaaa!!hao mashekhe wamefanya nn?
Azwory nae mlimpeleka mahakama gani,
Aliyemuua akwelina amepelekwa mahakama gani...

Lisu nae kafanya nn mpka mkampiga risasi
 
Lisu bado yupo hai, ila viongozi wa kiisilam mumewamaliza huko Pwani.
Kpigwa risasi kw kosa lipi, tena maeneo ya bunge cctv zote kanda zimefutwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si angalau mngelimteka muntia ndani ya kiroba
 
Bwahahaaa!!hao mashekhe wamefanya nn?
Azwory nae mlimpeleka mahakama gani,
Aliyemuua akwelina amepelekwa mahakama gani...

Lisu nae kafanya nn mpka mkampiga risasi
Masheikh wanahusishwa na tuhuma za Ugaidi kama mlivyowatuhumu Makaburi na Rogo, huku kwetu wamepelekwa mahakamani, ile huko kwenu wamepelekwa kaburini.

Wote wanatuhumiwa kwa ugaidi, tofauti ya Makaburi na Rogo wao walizaliwa ktk nchi ambayo ni " Failed state" ndio sababu waliuliwa, hawa masheikh huku wanabahati wamezaliwa ktk nchi inayofuata utawala wa sheria, ndio sababu hadi Leo wapo mahakamani na wako hai.
 
Kpigwa risasi kw kosa lipi, tena maeneo ya bunge cctv zote kanda zimefutwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si angalau mngelimteka muntia ndani ya kiroba
Jacob Juba na Chris Msando wako wapi?, Kazi yenu kuuwa raia wenu hovyo, ndio sababu Mnaongoza Africa kwenye "Extra judicial killings"
 
Hiyo ndiyo maana halisi ya nchi inayofuata utawala wa sheria, wamepelekwa mahakamani na kesi yao haina dhamana, wangekuwa Kenya tungekuwa tulishawasahau, kwasababu nchi yenu ni " Banana Republic", Kenya maisha hayana thamani, POLISI wanauwa watu vile wapendavyo na hawashitakiwi wala kuulizwa" Failed state".
Kama vile mliwapeleka Aquillina, Ben Saanane na Lissu mahakamani?
Hawa wote haki imepatikana au?
 
Jacob Juba na Chris Msando wako wapi?, Kazi yenu kuuwa raia wenu hovyo, ndio sababu Mnaongoza Africa kwenye "Extra judicial killings"
Heheeee!!tatizo wale mazingira waliyouliwa sio tatanishi...

Nyni eti aquilina risasi ilikata kona, lisu nae alifanyiwa maeneo ya bungeni..yani utajua kabisa hamjielewi[emoji1787][emoji1787]
 
Masheikh wanahusishwa na tuhuma za Ugaidi kama mlivyowatuhumu Makaburi na Rogo, huku kwetu wamepelekwa mahakamani, ile huko kwenu wamepelekwa kaburini.

Wote wanatuhumiwa kwa ugaidi, tofauti ya Makaburi na Rogo wao walizaliwa ktk nchi ambayo ni " Failed state" ndio sababu waliuliwa, hawa masheikh huku wanabahati wamezaliwa ktk nchi inayofuata utawala wa sheria, ndio sababu hadi Leo wapo mahakamani na wako hai.
Watuhumiwa watakaaje jela[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Miaka yote hyo mnawatuhumu tu,hao havari yao kwisha ndo wameshapotezwa hvyo
 
Watuhumiwa watakaaje jela[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Miaka yote hyo mnawatuhumu tu,hao havari yao kwisha ndo wameshapotezwa hvyo
Kule kwa "Mungu" wenu Marekani, watuumiwa wa ugaidi kule Guantanamo bay wamekaa miaka mingapi?. Ninyi hata mahakamani hamuwapekeki badala yake mnawapiga risasi barabarani. Failed state ninyi.
 
Bullshit,mkuu wenu Wakenya wa polisi msomali. Kuna swali hapo?siku hizi hawateki meli mnao hapo
 
Kule kwa "Mungu" wenu Marekani, watuumiwa wa ugaidi kule Guantanamo bay wamekaa miaka mingapi?. Ninyi hata mahakamani hamuwapekeki badala yake mnawapiga risasi barabarani. Failed state ninyi.
Who is a failed satanic state than a danganyikan state.Where cannibals are free to hunt and eat humans.Nyinyi hata afadhali mikate ingezaliwa tule.You are not humans.Idiots
 
Woii..
Mi nikadhani ni hapa kwetu bhana nianze kufurahia
Ni wazi kwamba Kenya ni kama gari bovu lisilokuwa na dereva, nchi imepoteza muelekeo, kila mtu anafanya atakavyo, hakuna muunganiko katika serikali, Rais na Naibu wake hawapo pamoja, CJ analalamika mahakama kuhujumiwa, hili la polisi wa barabarani kupingana risasi na maafisa wa tume ya kupambana na rushwa ili wasikamatwe, ni hitimisho la serikali kusambaratika.


 
Who is a failed satanic state than a danganyikan state.Where cannibals are free to hunt and eat humans.Nyinyi hata afadhali mikate ingezaliwa tule.You are not humans.Idiots
Mnakula nyama ya Jaluo kama simba anavyokula nyati
 
Back
Top Bottom