Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wewe bado ni Great Thinker mkuu! Umefafanua vizuri sana. Na umechagua njia sahihi bila shaka.
Hakuna namna. Watoto wangu bado wananihitaji sana. Nina uhakia Wasiojulikana wameshaanza tayari jalamba kwa ajili ya kazi yao maalum kama ilivyokua enzi zile za awali.
I don't believe this !.Pascal kwani nyinyi wavamizi mbona hamjamaliza mauwaji mnakuja na kuweka vibaraka vyenu kwenye nafasi za uwaziri ?
View attachment 1616052
P