Uchaguzi 2020 Nchi ipo kwenye tope. Tumekwama kwa miaka mingine mitano, au zaidi...

Uchaguzi 2020 Nchi ipo kwenye tope. Tumekwama kwa miaka mingine mitano, au zaidi...

Wewe bado ni Great Thinker mkuu! Umefafanua vizuri sana. Na umechagua njia sahihi bila shaka.

Hakuna namna. Watoto wangu bado wananihitaji sana. Nina uhakia Wasiojulikana wameshaanza tayari jalamba kwa ajili ya kazi yao maalum kama ilivyokua enzi zile za awali.
Pascal kwani nyinyi wavamizi mbona hamjamaliza mauwaji mnakuja na kuweka vibaraka vyenu kwenye nafasi za uwaziri ?





View attachment 1616052
I don't believe this !.
P
 
Uchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.

Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.

Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.

Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.

Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.

Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.

Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.

Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.

CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.

Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.

Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.

Only when enough people are enlightened will this country be liberated.

Vive la resistance!
Safi sana umeandika vema
 
Mkuu Tate Mkuu , kama ulivyosema enzi hizo, kila zama na zama zake, human beings are not static, they are dynamic and they change with time and place, zile ni enzi nyingine na hizi sasa ni enzi nyingine.

Enzi zile kulikuwa na katiba yake, sheria zake, taratibu na kanuni, kulikuwa na laws and order, sasa we are using the laws of the jungle, struggle for existence, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be adaptive to the changing environments, usipoweza kubadilika kwenda na wakati uliopo, you just perish. I'm a survivor

P
Umeongea kweli tupu... kwa vile binadamu wa aina yako wameamua kuishi kinyama, then, lengo lako kuu ni "kusurvive".

Safi bwana.
 
Wewe bado ni Great Thinker mkuu! Umefafanua vizuri sana. Na umechagua njia sahihi bila shaka.

Hata mimi baada tu ya Mzee Baba kuapishwa, huenda nikahamia moja kwa moja kwenye Majukwaa mengine. Mfano lile Jukwaa la MMU, Michezo, nk.

Hakuna namna. Watoto wangu bado wananihitaji sana. Nina uhakia Wasiojulikana wameshaanza tayari jalamba kwa ajili ya kazi yao maalum kama ilivyokua enzi zile za awali.
Si ajabu Bashite wakati huu anapanga timu!
 
Uchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.

Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.

Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.

Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.

Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.

Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.

Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.

Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.

CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.

Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.

Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.

Only when enough people are enlightened will this country be liberated.

Vive la resistance!
Ndani ya miaka mitano ya utawala haramu huu tutashudia tukio kubwa sana kuwahi kutokea. Tusubiri
 
Majibu unayo wewe unamjibia kila mtu, lazima ujifunze hata kama Diamond Platnumz anaweza jaza uwanja wa Taifa haimaanishi ni presidential material. Jamaa yenu nyomi lilikua linamdanganya anasahau Majority watanzania wanataka maendeleo. Shika Jembe ukalime, wacha maneno maneno mengi.
Fck you
 
Mkuu Tate Mkuu , kama ulivyosema enzi hizo, kila zama na zama zake, human beings are not static, they are dynamic and they change with time and place, zile ni enzi nyingine na hizi sasa ni enzi nyingine.

Enzi zile kulikuwa na katiba yake, sheria zake, taratibu na kanuni, kulikuwa na laws and order, sasa we are using the laws of the jungle, struggle for existence, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be adaptive to the changing environments, usipoweza kubadilika kwenda na wakati uliopo, you just perish. I'm a survivor

P
Umemsoma mleta mada, lakini kama ilivyokawaida ya wenye njaa hakuna la kushangaza hapo.
Bahati nzuri dunia haina watu wa aina hii wengi.
Uchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.

Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.

Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.

Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.

Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.

Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.

Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.

Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.

CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.

Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.

Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.

Only when enough people are enlightened will this country be liberated.

Vive la resistance!
Isome tena mada yake hasa hiyo mistari yake ya mwisho.

Dunia ingekuwa tambara bovu sana kama watu wa aina yako ndio wangekuwa wana 'influence' matukio.
 
Mkuu Tate Mkuu , kama ulivyosema enzi hizo, kila zama na zama zake, human beings are not static, they are dynamic and they change with time and place, zile ni enzi nyingine na hizi sasa ni enzi nyingine.

Enzi zile kulikuwa na katiba yake, sheria zake, taratibu na kanuni, kulikuwa na laws and order, sasa we are using the laws of the jungle, struggle for existence, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be adaptive to the changing environments, usipoweza kubadilika kwenda na wakati uliopo, you just perish. I'm a survivor

P
Huenda nikaiga mbinu zako ili niweze 'ku-survive'.
 
Mkuu Tate Mkuu , kama ulivyosema enzi hizo, kila zama na zama zake, human beings are not static, they are dynamic and they change with time and place, zile ni enzi nyingine na hizi sasa ni enzi nyingine.

Enzi zile kulikuwa na katiba yake, sheria zake, taratibu na kanuni, kulikuwa na laws and order, sasa we are using the laws of the jungle, struggle for existence, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be adaptive to the changing environments, usipoweza kubadilika kwenda na wakati uliopo, you just perish. I'm a survivor

P
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Naona unahalalisha uchumia tumbo wako
Endelea kupiga spana ngosha, jamaa yako kapewa mingine this time atakuona, perhaps.
 
Uchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.

Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.

Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.

Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.

Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.

Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.

Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.

Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.

CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.

Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.

Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.

Only when enough people are enlightened will this country be liberated.

Vive la resistance!
Nchi haijakwama,bali upinzani walijikwamisha 2015.
images (22).jpeg
 
Rudisha internent huo ndio ujinga waliofanyika kazi za watu zinasimama kisa ujinga hatujali nani anaongoza nchi au ambaye anataka kusimamia ujinga tu .
 
Back
Top Bottom