Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wewe bado ni Great Thinker mkuu! Umefafanua vizuri sana. Na umechagua njia sahihi bila shaka.
Hakuna namna. Watoto wangu bado wananihitaji sana. Nina uhakia Wasiojulikana wameshaanza tayari jalamba kwa ajili ya kazi yao maalum kama ilivyokua enzi zile za awali.
I don't believe this !.Pascal kwani nyinyi wavamizi mbona hamjamaliza mauwaji mnakuja na kuweka vibaraka vyenu kwenye nafasi za uwaziri ?
View attachment 1616052
Safi sana umeandika vemaUchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.
Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.
Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.
Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.
Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.
Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.
Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.
Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.
CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.
Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.
Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.
Only when enough people are enlightened will this country be liberated.
Vive la resistance!
Umeongea kweli tupu... kwa vile binadamu wa aina yako wameamua kuishi kinyama, then, lengo lako kuu ni "kusurvive".Mkuu Tate Mkuu , kama ulivyosema enzi hizo, kila zama na zama zake, human beings are not static, they are dynamic and they change with time and place, zile ni enzi nyingine na hizi sasa ni enzi nyingine.
Enzi zile kulikuwa na katiba yake, sheria zake, taratibu na kanuni, kulikuwa na laws and order, sasa we are using the laws of the jungle, struggle for existence, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be adaptive to the changing environments, usipoweza kubadilika kwenda na wakati uliopo, you just perish. I'm a survivor
P
Si ajabu Bashite wakati huu anapanga timu!Wewe bado ni Great Thinker mkuu! Umefafanua vizuri sana. Na umechagua njia sahihi bila shaka.
Hata mimi baada tu ya Mzee Baba kuapishwa, huenda nikahamia moja kwa moja kwenye Majukwaa mengine. Mfano lile Jukwaa la MMU, Michezo, nk.
Hakuna namna. Watoto wangu bado wananihitaji sana. Nina uhakia Wasiojulikana wameshaanza tayari jalamba kwa ajili ya kazi yao maalum kama ilivyokua enzi zile za awali.
Lakini kama ni habari, hakuna njia ya kuizuia isibumburuke.I don't believe this !.
P
Ndani ya miaka mitano ya utawala haramu huu tutashudia tukio kubwa sana kuwahi kutokea. TusubiriUchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.
Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.
Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.
Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.
Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.
Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.
Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.
Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.
CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.
Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.
Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.
Only when enough people are enlightened will this country be liberated.
Vive la resistance!
Fck youMajibu unayo wewe unamjibia kila mtu, lazima ujifunze hata kama Diamond Platnumz anaweza jaza uwanja wa Taifa haimaanishi ni presidential material. Jamaa yenu nyomi lilikua linamdanganya anasahau Majority watanzania wanataka maendeleo. Shika Jembe ukalime, wacha maneno maneno mengi.
Umemsoma mleta mada, lakini kama ilivyokawaida ya wenye njaa hakuna la kushangaza hapo.Mkuu Tate Mkuu , kama ulivyosema enzi hizo, kila zama na zama zake, human beings are not static, they are dynamic and they change with time and place, zile ni enzi nyingine na hizi sasa ni enzi nyingine.
Enzi zile kulikuwa na katiba yake, sheria zake, taratibu na kanuni, kulikuwa na laws and order, sasa we are using the laws of the jungle, struggle for existence, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be adaptive to the changing environments, usipoweza kubadilika kwenda na wakati uliopo, you just perish. I'm a survivor
P
Isome tena mada yake hasa hiyo mistari yake ya mwisho.Uchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.
Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.
Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.
Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.
Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.
Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.
Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.
Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.
CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.
Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.
Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.
Only when enough people are enlightened will this country be liberated.
Vive la resistance!
Huenda nikaiga mbinu zako ili niweze 'ku-survive'.Mkuu Tate Mkuu , kama ulivyosema enzi hizo, kila zama na zama zake, human beings are not static, they are dynamic and they change with time and place, zile ni enzi nyingine na hizi sasa ni enzi nyingine.
Enzi zile kulikuwa na katiba yake, sheria zake, taratibu na kanuni, kulikuwa na laws and order, sasa we are using the laws of the jungle, struggle for existence, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be adaptive to the changing environments, usipoweza kubadilika kwenda na wakati uliopo, you just perish. I'm a survivor
P
Utatakiwa kwanza kuwa mnafiki na kigeugeu! Utaweza bwashee?Huenda nikaiga mbinu zako ili niweze 'ku-survive'.
ππππππππππ Naona unahalalisha uchumia tumbo wakoMkuu Tate Mkuu , kama ulivyosema enzi hizo, kila zama na zama zake, human beings are not static, they are dynamic and they change with time and place, zile ni enzi nyingine na hizi sasa ni enzi nyingine.
Enzi zile kulikuwa na katiba yake, sheria zake, taratibu na kanuni, kulikuwa na laws and order, sasa we are using the laws of the jungle, struggle for existence, survival is for the fittest, to be fit to survive, one has to be adaptive to the changing environments, usipoweza kubadilika kwenda na wakati uliopo, you just perish. I'm a survivor
P
Nchi haijakwama,bali upinzani walijikwamisha 2015.Uchaguzi umemalizika. Kuhusu kama uchaguzi ulikuwa ni wa uhuru na haki, wote majibu tunayo moyoni. It was not.
Cha muhimu ni kwamba upinzani umegain enough momentum kiasi kwamba umekuwa tishio hadi kuitikisa CCM na kuwafanya wawe desperate, ambapo hawakuwa na namna nyingine zaidi ya kufanya hujuma za hali ya juu na za wazi wazi ili kubaki madarakani.
Kilichofanywa na Magufuli kingefanywa na mwenyekiti yoyote yule wa CCM ili kuokoa chama chake. Kwahiyo tusidhani mambo yangekuwa tofauti kama raisi asingekuwa Magufuli bali mtu mwingine kutoka chama hicho hicho. Tanzania, de jure ni multiparty democracy lakini de facto ni a one party state, ndo madhara yake hayo.
Uchaguzi pia umewaonyesha wananchi na upinzani picha halisi ya chama/ serikali wanayopambana nayo.
Kwa ambao wanajidanganya kuwa mambo yatakuwa afadhali baada ya hapa, basi hawajajifunza kitu chochote kuhusu miaka mitano iliyopita. Mambo yanaenda kuwa mabaya zaidi.
Sheria zitatungwa ili kupunguza momentum waliyogain wapinzani, uhuru wakujieleza unaenda kuzikwa rasmi na kila aina ya sheria kandamizi zitapitishwa ili kutarget wale ambao wanataka 'kukwamisha maendeleo'.
Uchumi utazidi kuporomoka na maisha ya wananchi yatazidi kuwa magumu zaidi.
Tutegemee more white elephant projects ili watawala kufurahisha nafsi zao kwa kisingizio kuwa wanaleta maendeleo. Miradi ambayo haina manufaa yoyote kwa mwananchi wa kawaida.
CCM isifurahi ikadhani kuwa upinzani sasa umekufa rasmi kisa bunge linaenda kuwa la kijani tupu, na wabunge karibia wote wa upinzani wameondolewa. Watu wengi sana wamechukizwa na huu uchaguzi, sasa serikali ijiandae kupambana na upinzani ambao utakuwa ni invisible.
Ni muda sasa strategy ikaja ya kuzindua wananchi waliolala usingizi wa pono wakihisi siasa haziwahusu, mkazo unahitajika ili kuongeza awareness na mwamko wa watu. Ndo maana serikali inatunga sheria kila kukicha kuondoa uhuru wakujieleza, wa vyombo vya habari na uhuru wa kupata taarifa. Na inaivest kwenye kutengeneza distractions na 'ubuyu' wa kila aina ili kupunguza mwamko mwananchi.
Muda wa wananchi kuzinduliwa umewadia.
Only when enough people are enlightened will this country be liberated.
Vive la resistance!
Kweli unaongea ukweli kabisaNchi haijakwama,bali upinzani walijikwamisha 2015.
View attachment 1616555