Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kuna sehemu nilikuwa,tukawainterview baadhi ya watu,mmoja alisoma Udom akiwa na 4.1......ila alikuwa hawezi hata kujieleza japo alikuwa na CV bora kuliko wote.......aliyeajiliwa alikuwa na 3.1 cos alikuwa very smart na alikuwa anajua anachokisema and well organised.......gipiei kubwa ni hatua bora ila baadhi yao nikukariri tu madesa......
Ila naunga mkono hoja,wenye GPA kubwa mzingatiwe
Ila naunga mkono hoja,wenye GPA kubwa mzingatiwe