Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie hamnaga jipya kwani hapo kuna ubaya gani nawewe tangazeni vyakwao tuHawa wenzetu wanapenda kutumia advantage ya vivutio vya Tanzania kurubuni wageni waende nchi yao. Kwanini msiandike masaimara, Tsavo etc. za kwenu?
Acheni ulimbukeni!View attachment 1470766
Wanatutangazia mbuga za utalii kwasababu Sisi hatuna ndege nyingi kama wao . Hiyo ni kawaida tuu tena tuwashukuru
Sisi ndege zetu zimeandikwa "Hapa kazi tu" 🤣Hawa wenzetu wanapenda kutumia advantage ya vivutio vya Tanzania kurubuni wageni waende nchi yao. Kwanini msiandike masaimara, Tsavo etc. za kwenu?
Acheni ulimbukeni!View attachment 1470766
Na utandawazi huu kuna ambao bado wanajua ni Kenya! Mimi sijawahi kukutana nae wa hivyoNimekutana na mzungu aliyeambiwa you can view mount kilimanjaro ipo kwenye wakapiga ela yake. Mzungu alipotaka kupanda wakamwambia you can hike well on the side of Tanzania.
So wengi wanakuja Kenya wakijua mount kilimanjaro ipo Kenya.
Biashara haigombi ila uwe mkweli
Tumia nafsi ya kwanza umoja, Hamna msaada wowote vipi ushawahi sikia South Africa 🇿🇦 wakiwasaidia Zimbabwe 🇿🇼 kutangaza Victoria falls.Wanatutangazia mbuga za utalii kwasababu Sisi hatuna ndege nyingi kama wao . Hiyo ni kawaida tuu tena tuwashukuru
Wapo.Na utandawazi huu kuna ambao bado wanajua ni Kenya! Mimi sijawahi kukutana nae wa hivyo
Kwahyo kumchungulia mke wa mtu akioga CHOONI kupitia dirishani kwako, ndy kujihalalisha ni MKEO?kuonekana kirahisi kutoka Nairobi bado haihalalshi mlima ni wa Kenya.You can easily view mountain Kilimanjaro when your ata Nairobi
Huo mlima lazima tuupigie hela, wazungu waligawana kama zawadi wakachora chora mipaka yao, mtakoma ubishi, yaani tu basi...
Niliwaza kitu kama hichi,ila Kama siyo Basi Kenya wanawashwaPhotoshop