You areYou can easily view mountain Kilimanjaro when your ata Nairobi
UAE 🇦 sio washindani wa Tanzania kwenye utalii , Hata wakichora wanyama hamna Mzungu atakaye enda UAE kwa ajili ya kutazama wanyama.Ni kawaida kutangaza vivutio vya nchi tofauti ili kupata biashara zaidi
Hata Emirates wameweka ndege yao unapoingia Heathrow kwenye roundabout na limechorwa wanyama wetu wote kasoro ngamia [emoji23]
Yote hiyo kwa sababu wana Safari zao nyingi kwetu na hapo ndio mchezo mzima
UAE 🇦 sio washindani wa Tanzania kwenye utalii , Hata wakichora wanyama hamna Mzungu atakaye enda UAE kwa ajili ya kutazama wanyama.