Nchi kadhaa duniani zaanza kuchukua hatua dhidi ya Israeli juu ya operesheni yake ya kijeshi huko Rafah ambayo yaua wapestina wengi

Nchi kadhaa duniani zaanza kuchukua hatua dhidi ya Israeli juu ya operesheni yake ya kijeshi huko Rafah ambayo yaua wapestina wengi

Huyu afrika kusini anakiherehere, nchi yake tu ameshindwa kuzuia uhalifu anakaza kushindana na Israel. Yaan atavunjwa vunjwa vipande vipande
Israeli bado yaendelea na operesheni yake katika mji wa Rafah ulioko shemu ya Khan Younis ambayo ipo sehemu ya kusini mwa mji wa Gaza yenye wapestina wapatao milioni 1.4

Operesheni hiyo imeanza kutoa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina pamoja ya idadi ingine ya vifo inotokea katika Ukanda wa Magharibi ambako walowezi wa kiyahudi wamekuwa wakiendesha operesheni yao dhidi ya wapalestina popote pale walipo.

Hadi sasa idadi rasmi ya wapelestina walouawa katika operesheni ya Israeli imefikia 28,473.

Leo hii waandishi wawili wa habari wa Al-Jazeera wamejeruhiwa vibaya kwa risasi na wanajeshi wa IDF walipokuwa kazini.

Yafuatayo yametokea mida hii na zifuatazo ni hatua ambazo nchi kadhaa duniani zimeamua kuchukua dhsidi ya Israeli baada ya kuona kuwa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina ikuiendelea kuongezeka.

1. Mfalme Abdulah wa Jordan ametoa kauli akiwa ziarani mjini Washington mbele ya raisi Joe Biden kwamba operesheni ya Israeli huko Rafah haiwezi kuvumiliwa.

2. China imetoa tamko kuitaka Israeli kusitisha mara moja operesheni yake hiyo huko Rafah.

3. Uingereza imewawekea vikwazo walowezi wa kiyahudi ambao wamekuwa wakiendelea na operesheni yao dhidi ya wapalestina na kupora ardhi kinguvu huko ukanda wa Magharibi au West Bank.

4. Ufaransa imewawekea vikwazo walowezi wapatoa 28 wa kiyahudi (kwa mujibu wa ofisi ya mambo ya nje) Ikumbukwe kuwa walowezi wengi wa kiyahudi wamekuwa na urai pacha wa nchi mbalimbali za Ulaya.

5. Afrika Kusini imeitisha kikao katika mahakama ya Umoja wa Mataifa kujqdili yanoendelea huko Rafah.

6. Italy nayo imetoa kauli kwamba Operesheni ya majeshi ya Israeli huko Rafah imezidi malengo halisi na wapalestina waso na hatia wengi wanauawa.

7. CIA na Mossad jioni hii wakutana na mawaziri wakuu wa Qatar na Misri kujadili namna ya kusitisha operesheni ya Israeli na kubadilishana wafungwa kati ya Israeli na Hamas.
 
Haya Mayahudi ni majitu majinga sana. Badala ya kupambana na wababe wao Hamas! Yenyewe yako busy kulipua majengo na kuua raia wasio na hatia, kwa kisingizio cha kupambana na hao Hamas.
Askari 249 wa Israel wameshauwa tangu kuanza operation, je wameuliwa na raia?
 
Israeli bado yaendelea na operesheni yake katika mji wa Rafah ulioko shemu ya Khan Younis ambayo ipo sehemu ya kusini mwa mji wa Gaza yenye wapestina wapatao milioni 1.4

Operesheni hiyo imeanza kutoa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina pamoja ya idadi ingine ya vifo inotokea katika Ukanda wa Magharibi ambako walowezi wa kiyahudi wamekuwa wakiendesha operesheni yao dhidi ya wapalestina popote pale walipo.

Hadi sasa idadi rasmi ya wapelestina walouawa katika operesheni ya Israeli imefikia 28,473.

Leo hii waandishi wawili wa habari wa Al-Jazeera wamejeruhiwa vibaya kwa risasi na wanajeshi wa IDF walipokuwa kazini.

Yafuatayo yametokea mida hii na zifuatazo ni hatua ambazo nchi kadhaa duniani zimeamua kuchukua dhsidi ya Israeli baada ya kuona kuwa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina ikuiendelea kuongezeka.

1. Mfalme Abdulah wa Jordan ametoa kauli akiwa ziarani mjini Washington mbele ya raisi Joe Biden kwamba operesheni ya Israeli huko Rafah haiwezi kuvumiliwa.

2. China imetoa tamko kuitaka Israeli kusitisha mara moja operesheni yake hiyo huko Rafah.

3. Uingereza imewawekea vikwazo walowezi wa kiyahudi ambao wamekuwa wakiendelea na operesheni yao dhidi ya wapalestina na kupora ardhi kinguvu huko ukanda wa Magharibi au West Bank.

4. Ufaransa imewawekea vikwazo walowezi wapatoa 28 wa kiyahudi (kwa mujibu wa ofisi ya mambo ya nje) Ikumbukwe kuwa walowezi wengi wa kiyahudi wamekuwa na urai pacha wa nchi mbalimbali za Ulaya.

5. Afrika Kusini imeitisha kikao katika mahakama ya Umoja wa Mataifa kujqdili yanoendelea huko Rafah.

6. Italy nayo imetoa kauli kwamba Operesheni ya majeshi ya Israeli huko Rafah imezidi malengo halisi na wapalestina waso na hatia wengi wanauawa.

7. CIA na Mossad jioni hii wakutana na mawaziri wakuu wa Qatar na Misri kujadili namna ya kusitisha operesheni ya Israeli na kubadilishana wafungwa kati ya Israeli na Hamas.
Israel inaonea mataifa machanga, kama wana ubavu waje wapigane na Jeshi la wananchi wa Tanzania waone kitakachowapata.
 
Askari 249 wa Israel wameshauwa tangu kuanza operation, je wameuliwa na raia?
Hata wangeuwawa na mbwa, bado itabakia kuwa ni haki yao. Maana Mayahudi hawana faida yoyote ile hapa duniani.
 
Israeli bado yaendelea na operesheni yake katika mji wa Rafah ulioko shemu ya Khan Younis ambayo ipo sehemu ya kusini mwa mji wa Gaza yenye wapestina wapatao milioni 1.4

Operesheni hiyo imeanza kutoa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina pamoja ya idadi ingine ya vifo inotokea katika Ukanda wa Magharibi ambako walowezi wa kiyahudi wamekuwa wakiendesha operesheni yao dhidi ya wapalestina popote pale walipo.

Hadi sasa idadi rasmi ya wapelestina walouawa katika operesheni ya Israeli imefikia 28,473.

Leo hii waandishi wawili wa habari wa Al-Jazeera wamejeruhiwa vibaya kwa risasi na wanajeshi wa IDF walipokuwa kazini.

Yafuatayo yametokea mida hii na zifuatazo ni hatua ambazo nchi kadhaa duniani zimeamua kuchukua dhsidi ya Israeli baada ya kuona kuwa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina ikuiendelea kuongezeka.

1. Mfalme Abdulah wa Jordan ametoa kauli akiwa ziarani mjini Washington mbele ya raisi Joe Biden kwamba operesheni ya Israeli huko Rafah haiwezi kuvumiliwa.

2. China imetoa tamko kuitaka Israeli kusitisha mara moja operesheni yake hiyo huko Rafah.

3. Uingereza imewawekea vikwazo walowezi wa kiyahudi ambao wamekuwa wakiendelea na operesheni yao dhidi ya wapalestina na kupora ardhi kinguvu huko ukanda wa Magharibi au West Bank.

4. Ufaransa imewawekea vikwazo walowezi wapatoa 28 wa kiyahudi (kwa mujibu wa ofisi ya mambo ya nje) Ikumbukwe kuwa walowezi wengi wa kiyahudi wamekuwa na urai pacha wa nchi mbalimbali za Ulaya.

5. Afrika Kusini imeitisha kikao katika mahakama ya Umoja wa Mataifa kujqdili yanoendelea huko Rafah.

6. Italy nayo imetoa kauli kwamba Operesheni ya majeshi ya Israeli huko Rafah imezidi malengo halisi na wapalestina waso na hatia wengi wanauawa.

7. CIA na Mossad jioni hii wakutana na mawaziri wakuu wa Qatar na Misri kujadili namna ya kusitisha operesheni ya Israeli na kubadilishana wafungwa kati ya Israeli na Hamas.
Israel forever will reign
 
Ufuatao ni uharibifu mkubwa ambao umefanywa na Israeli ndani ya Gaza tangia mwezi october mwaka jana na baada ya mahakama ya umoja wa mataifa (ISJ) kusikiliza shauri lilotolewa na Afrika Kusini juu ya yanofanywa na Israeli huko Gaza.

Kwanza asilimia zaidi ya 70 ya makazi ya wapelestina yameharibiwa vibaya kwa mabomu ya majeshi ya IDF.

Miundombinu ifuatayo nayo imevunjwa kufikia kifusi.

1. Nyumba za makazi ya wapalestina zipatazo 360, 000

2. Sehemu za ibada zipatazo 269 magari ya wagonjwa yapatayo 123 vimeharibiwa.

3. Shule 281 za serikali ya Gaza na shule 65 zinoendeshwa na Unrwa zote zimeharibiwa au sehemu fulani.

4. Hospitali moja kati ya 35 ndo yafanya kazi kwa ufanisi zingine zikiwa zimeharibiwa kwa mabomu.

Je, hii miundombinu yote yahusika vipi na kuwatafuta walipo wapiganaji wa Hamas?
 
Anaetia huruma nani kijana ukishapewa baraka unaona sifa kuita watu majina ya hovyo
Hamas waliua magaidi na lile lilikua ni jambo la kupongezwa kuanzia siku ile leo kesho mpaka kiama
wale wacheza disco ndo magaidi ? kama wale ni magaidi basi tulien mzigo uwaingie vzr , Netanyau hana mdhaha na wavaa kobaz
 
Haya Mayahudi ni majitu majinga sana. Badala ya kupambana na wababe wao Hamas! Yenyewe yako busy kulipua majengo na kuua raia wasio na hatia, kwa kisingizio cha kupambana na hao Hamas.
kama hamas hawafi , mbona hawapigi hatua kuwarudisha nyuma wayaudi ?
 
Kuna uzi ulikuja humu kuwa Hamas inashinda vita na kuwachinja mazayuni. Imekuwaje tena?

Hii propaganda tu na uzushi
 
Israeli bado yaendelea na operesheni yake katika mji wa Rafah ulioko shemu ya Khan Younis ambayo ipo sehemu ya kusini mwa mji wa Gaza yenye wapestina wapatao milioni 1.4

Operesheni hiyo imeanza kutoa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina pamoja ya idadi ingine ya vifo inotokea katika Ukanda wa Magharibi ambako walowezi wa kiyahudi wamekuwa wakiendesha operesheni yao dhidi ya wapalestina popote pale walipo.

Hadi sasa idadi rasmi ya wapelestina walouawa katika operesheni ya Israeli imefikia 28,473.

Leo hii waandishi wawili wa habari wa Al-Jazeera wamejeruhiwa vibaya kwa risasi na wanajeshi wa IDF walipokuwa kazini.

Yafuatayo yametokea mida hii na zifuatazo ni hatua ambazo nchi kadhaa duniani zimeamua kuchukua dhsidi ya Israeli baada ya kuona kuwa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina ikuiendelea kuongezeka.

1. Mfalme Abdulah wa Jordan ametoa kauli akiwa ziarani mjini Washington mbele ya raisi Joe Biden kwamba operesheni ya Israeli huko Rafah haiwezi kuvumiliwa.

2. China imetoa tamko kuitaka Israeli kusitisha mara moja operesheni yake hiyo huko Rafah.

3. Uingereza imewawekea vikwazo walowezi wa kiyahudi ambao wamekuwa wakiendelea na operesheni yao dhidi ya wapalestina na kupora ardhi kinguvu huko ukanda wa Magharibi au West Bank.

4. Ufaransa imewawekea vikwazo walowezi wapatoa 28 wa kiyahudi (kwa mujibu wa ofisi ya mambo ya nje) Ikumbukwe kuwa walowezi wengi wa kiyahudi wamekuwa na urai pacha wa nchi mbalimbali za Ulaya.

5. Afrika Kusini imeitisha kikao katika mahakama ya Umoja wa Mataifa kujqdili yanoendelea huko Rafah.

6. Italy nayo imetoa kauli kwamba Operesheni ya majeshi ya Israeli huko Rafah imezidi malengo halisi na wapalestina waso na hatia wengi wanauawa.

7. CIA na Mossad jioni hii wakutana na mawaziri wakuu wa Qatar na Misri kujadili namna ya kusitisha operesheni ya Israeli na kubadilishana wafungwa kati ya Israeli na Hamas.
Lakini ushujaa wa hamas nimeushuudia kwa Israel kupewa misaada kwa ajili ya wanamgambo hamas wamejitahidi sana tu alafu na hao magharibi ni wanafiki tu wanaoidhinisha matrilioni ya pesa alafu wanakuja kwenye midia kuongea unafiki bila aibu
 
Netanyahuu hacheki na kima safari hii alishawaambia hakuna wakuwazuia kuwafuta Hamas
 
Israeli bado yaendelea na operesheni yake katika mji wa Rafah ulioko shemu ya Khan Younis ambayo ipo sehemu ya kusini mwa mji wa Gaza yenye wapestina wapatao milioni 1.4

Operesheni hiyo imeanza kutoa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina pamoja ya idadi ingine ya vifo inotokea katika Ukanda wa Magharibi ambako walowezi wa kiyahudi wamekuwa wakiendesha operesheni yao dhidi ya wapalestina popote pale walipo.

Hadi sasa idadi rasmi ya wapelestina walouawa katika operesheni ya Israeli imefikia 28,473.

Leo hii waandishi wawili wa habari wa Al-Jazeera wamejeruhiwa vibaya kwa risasi na wanajeshi wa IDF walipokuwa kazini.

Yafuatayo yametokea mida hii na zifuatazo ni hatua ambazo nchi kadhaa duniani zimeamua kuchukua dhsidi ya Israeli baada ya kuona kuwa idadi kubwa ya vifo vya wapalestina ikuiendelea kuongezeka.

1. Mfalme Abdulah wa Jordan ametoa kauli akiwa ziarani mjini Washington mbele ya raisi Joe Biden kwamba operesheni ya Israeli huko Rafah haiwezi kuvumiliwa.

2. China imetoa tamko kuitaka Israeli kusitisha mara moja operesheni yake hiyo huko Rafah.

3. Uingereza imewawekea vikwazo walowezi wa kiyahudi ambao wamekuwa wakiendelea na operesheni yao dhidi ya wapalestina na kupora ardhi kinguvu huko ukanda wa Magharibi au West Bank.

4. Ufaransa imewawekea vikwazo walowezi wapatoa 28 wa kiyahudi (kwa mujibu wa ofisi ya mambo ya nje) Ikumbukwe kuwa walowezi wengi wa kiyahudi wamekuwa na urai pacha wa nchi mbalimbali za Ulaya.

5. Afrika Kusini imeitisha kikao katika mahakama ya Umoja wa Mataifa kujqdili yanoendelea huko Rafah.

6. Italy nayo imetoa kauli kwamba Operesheni ya majeshi ya Israeli huko Rafah imezidi malengo halisi na wapalestina waso na hatia wengi wanauawa.

7. CIA na Mossad jioni hii wakutana na mawaziri wakuu wa Qatar na Misri kujadili namna ya kusitisha operesheni ya Israeli na kubadilishana wafungwa kati ya Israeli na Hamas.
Sikiliza hiyo, wewe

View: https://x.com/amjadt25/status/1758202887232974967?s=20
 
Back
Top Bottom