Nchi kama Tanzania ukiwa CHADEMA ni tatizo kubwa sana

KARNE YA 21 MATUSI YANAITWA FALSAFA

CHADEMA INA VIAZI SIJAWAHI ONA
 

Attachments

  • Screenshot_20220618-100342.jpg
    72.2 KB · Views: 3
Wewe mwenyewe ndiye ndezi,hivi hukuona Yule dhalim mwendazake alivyotumia mabilioni ya kodi zetu kununua vijana toka Chadema na kuwapa nafasi za uwaziri baada ya kugundua kuwa huko CCM yamejaa mapooza tupu? Na hao hao ACT Wazalendo hujui wametokea wapi? Hoja zako hazina mashino hata kidogo umeandika kindezi sana. Naona hucho chuo chenu huko CCM cha kuzalisha wapumbavu kinapiga kazi sana. Kigogo 2014 umetokota hapa
 
Viazi kama wewe.
CDM inawanyima watu usingizi. Kipenzi chetu jpm kajitahidi kukiua lakini wapi. Baada ya mazungumzo na CDM tumeambiwa ccm imeamua kwenda mwendo wa katiba. Elimu bure na sgr chadema walipoleta ccm waliwacheka sasa wanajivunia. Tusubiri serikali za majimbo uone nchi ikichanganya. CDM wana matatizo yao lakini siyo hiyo pich uliyowakilisha. ACT inanguvu zanzibar lakini kwa tanganyika CDM ni mwamba.
 
Tatizo la chadema kushindwa kwenye uchaguzi sio tume huru wala katiba mpya. Chama bado hakija kubalika na watanzania walio wengi
 
Watakufaje wakati wapo online. Matusi na kashfa tu. Hawaamini hata katika neno Demokrasia pale unapoenda kinyume na mawazo yao. They are here to stay : online .
Bora aliye online kuliko aliyejifungia na kula majani na kuivuta Moshi wa majani na kuzurura kuwaandama na kuwatesa wenye mawazo mbadala.
 
Sasa ukiwa sisiemu si ndiyo unaonekana kunguni kabisa. Chama gani kinaendeshwa kama kikundi cha watu/koo fulani! Chama kinakumbatia mafisadi na wapiga dili! Kinakumbatia wageni na kuwadharau wazawa!

Kwa miaka zaidi ya 40, kimeifanya nchi kuwa shamba la bibi!
 
Naomba tafasiri/maana ya ''kindezi'', maana sisi wengine ni wazee tuliokulia kwenye maadili tofauti na wewe ambaye unaonekana kabisa kuwa na chuki binafsi dhidi ya CHADEMA na Mbowe.
 
Kigogo 2014 umeibukia huku?
 
Hao walipo ona there is no more way forward, waka amua waenda kwenye chama, kilicjokuwa na career path and progresion plans, na sio pahali palipokuwa stagnant
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…